MALEZI: Mzazi, Usimpe mtaji mwanao!

ndayilagije

JF-Expert Member
Nov 7, 2016
7,492
8,295
Na huu ndiyo ukweli kama mwanao anapokuomba mtaji afanye sijui biashara usimpe.

Muulize tu nikikutafutia msichana utaoa? Atajibu hapana, mke nitatafuta mwenyewe. Basi mwambie na mtaji ajitafutie, aanze biashara yeye anayoiweza, utamuongezea tu. Siyo unamuanzishia mradi huo lazima utakufa tu.

Wazee wengi tunakwama hapa.
 
Alichoongea kina mantik, japo mnakikataa bila hoja za msingi

Mtaji wa kujitafutia mwenyew unakua na uchungu nao sana kuliko na mtaji wa kupewa. Siunajua kesho utapewa tena ata ukikata.
Wanataka kuezeka lakini hawataki kuchimba msingi. Watoto wetu bhana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom