ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Na huu ndiyo ukweli kama mwanao anapokuomba mtaji afanye sijui biashara usimpe.
Muulize tu nikikutafutia msichana utaoa? Atajibu hapana, mke nitatafuta mwenyewe. Basi mwambie na mtaji ajitafutie, aanze biashara yeye anayoiweza, utamuongezea tu. Siyo unamuanzishia mradi huo lazima utakufa tu.
Wazee wengi tunakwama hapa.
Muulize tu nikikutafutia msichana utaoa? Atajibu hapana, mke nitatafuta mwenyewe. Basi mwambie na mtaji ajitafutie, aanze biashara yeye anayoiweza, utamuongezea tu. Siyo unamuanzishia mradi huo lazima utakufa tu.
Wazee wengi tunakwama hapa.