Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Mimi malengo yangu ni matatu tu 2026
1. Kuanza Phd (chap, mwezi wa tatu)
2. Kufungua NGO (Wiki mbili zijazo naiandikisha)
3. Kuanza mchakato wa kuanzisha chama kipya cha siasa (falsafa ya chama tayari ninayo, jina lipo, logo ipo, na katiba nishaanza ku draft

So, God help me. 🀲
 
Sai sana mkuu. Umeelezea vyema. Nakupongeza sana kwa wema wako wa kuwashika vijana mkono wamalize chuo. Mimi pia kwa mwaka huu nitajitahidi kufuata nyayo zako kwa kusaidia hata wawili.
 

Malengo yako makubwa makubwa
 

Asante sana mkuu
Hicho kitabu sijui naweza kukipata kwa softcopy?

Loooh kunyonyesha napo sijui itakuwa inatekenya ama sijui hisia ni ile ile nayoijua πŸ™Œ
 

Shule zifunguliwe jamani.

Kha
 
Asante sana mkuu
Hicho kitabu sijui naweza kukipata kwa softcopy?

Loooh kunyonyesha napo sijui itakuwa inatekenya ama sijui hisia ni ile ile nayoijua πŸ™Œ
Kunyonyesha atakuuma πŸ˜‚πŸ˜‚

Soft copy hii hapa.

Kitabu ni cha Kimarekani zaidi, lakini nafikiri kuna mambo unaweza kupata na kujiongeza kwa mazingira uliyopo.
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…