Malecela: Tanzania itakuwa ya 11 kiuchumi duniani miaka 20 ijayo

Mzee malecela amesema kwa mujibu wa magazine moja linalochapishwa marekani, Tanzania itakuwa ya 11. Aliisoma magazini hii akiwa marekani (hivi karibuni) hajasema lini. Hiyo magazine ilisema miaka 20 ijayo, China itakuwa ya kwanza ikifuatiwa na India, ya tatu Marekani na Tanzania Ya 11. Amesema Tanzania ni ya 3 Africa kwa utoaji dhahabu, Soda ash ni ya pili Duniani baada ya Marekani, Makaa ya mawe tunayo mengi sana. SISI SIYO MASKINI!..Source: Dkk 45, ITV

Huyo mzee alikua amevuta unga?
 
uhuni ambao alituhumiwa na Mwl. J.K.NYERERE ni ukigeugeu wa huyu mzee katika kukabiliana na Muungano. Aliwapinga G55 bungeni kuhusu hoja ya serikali ya Tanganyika lakini baadae akaibuka na kutaka uungwaji mkono ndani na nje ya bunge juu ya serikali tatu ndani ya JMT. Mwl akaona jamaa na Mwinyi hawakua na msimamo na hawafai kuwa viongozi. Zaidi waweza soma Uongozi na Hatima Yetu by Mwl. Nyerere.

Nimekisoma kitabu hiko lakini pamoja na kwamba mimi ni muumini wa Mwalimu Nyerere kwa kiasi kikubwa sana, naona kama vile Nyerere ndiye alikosea kwani Malecela awali alikosea kuizima hoja ya Tanganyika, na hatua yake ya kuunga mkono hoja ilikuwa ni hatua sahihi kwani ni dhahiri muungano wa serikali mbili kama anavyosema Lissu ni kiini macho; pengine kama Mwalimu alimwita mhuni kwa ukigeu geu/kwa sababu za kubadili msimamo na sio kwa kufanya uamuzi, kwani kwenye suala hili, historia itamweka Malecela upande wa 'He Did the right thing/decision".
 
Mtu anayekwenda kwenye kipindi na kutoa habari ya Tanzania kuwa ya 11 kiuchumi, ilhali akijua hali ya nchi, bila kutupa angalau jina la gazeti, hata kama kulikuwa na mashaka na uhuni wake, atakuwa anadhihirisha uhuni huo sasa.

I defer back to that sage Sagan "Extraoridinary claims require extraordinary evidence".

Malecela katoa hata jina la gazeti?

Isije kuwa anatuletea habari za www.theonion.com hapa. Marekani magazeti mengi tena ya kila aina.

There is some light in his argument, but tatizo letu tunaanza na negativity or denial then build from there badala ya kuangalia suala zima objectively kwanza kwani regardless of the source, kama kigezo ni GDP forecasts, sioni ajabu yoyote Tanzania kuwa the 11th largest economy by 2030; Kama calculations zimetumia OUTPUT METHOD ambapo kinachotazamwa ni just the value of goods and services produced in a country, his statement can hold water.

This method takes into account bidhaa na huduma zote zinazo zalishwa ndani ya uchumi wetu katika kipindi cha mwaka mmoja; This includes output ya all FDIs – mining, oil, gas, na hata huduma za kibenki kwa sekta za oil, gas, mining n.k. Given resources tulizokuwa nazo Tanzania, sio ajabu in 25-30 years tukawa 11[SUP]th[/SUP] largest economy in the World.

Note – hapa welfare ya wananchi haipo katika mahesabu i.e. the issue of the said growth to trickle down to the rural mass isn't taken into account;

Kuufikia ukweli kwa kuanzia in the middle i.e being objective ni rahisi zaidi kuliko kuanza kuangalia ukweli ukiwa tayari umeegemea to the left or right; ni vizuri mara nyingine tukatazama mambo kama haya bila ya kuweka negativity upfront kwanza, kwani ujenzi towards the truth utakuwa wa taabu sana;
 
Alikuwa amelewa? Hebu tazama nchi ya 11 duniani hivi sasa ni ipi? Itakuwa ni katika aina ya New Zealand au Norway hivi, hata South Afrika si ya 11+
! Sasa anataka kusema in 20 years Tanzania itaakuwa zaaidi ya Norway? Amelewa nini huyu? Halafu, matamshi haya kwangu mimi yanazidi kunitia wasi wasi wa ufaahamu wa viongozi wetu. Maadam ni gaazeti la Marekani (wazungu) basi hata akili yake haifanyyi kaazi naa kufikiria? Na huyu ni mtu aliwahi kuwa Waziri mkuu!? Halafu utashangaa Tanzania inavyopelekwa mrama na akina Dr?
 
Can mendacity of this allegation obfuscate the trajectory of this projectile? (Laloine)
 
Tanzania kuwa nchi ya 11 kiuchumi duniani inawezekana lakini si kwa aina ya viongozi tulionao ambao wanafikiria kujinufaisha wao na familia zao.Kama tutajitambua ,kuacha ubinafsi na kuweka mbele maslahi ya taifa sioni nini kitatuzuia kwani mataifa kama Japan na Ujerumani yanayoongoza kiuchumi duniani hawana rasilimali zozote.Sisi tumekuwa tunatumia rasilimali zetu kuendeleza nchi nyingine na baadae kuwapigia magoti kuwaomba msaada.Nchi kama Botswana ambayo inafanya vizuri kiuchumi Afrika inatumia zaid madini na ufugaji ng'ombe pamoja na kuajili wataalamu toka Tanzania vitu ambavyo vyote tunavyo.Kuna nchi kama Malasiya ambayo ni miongoni mwa nchi zinazoitwa tiger wa asia kiuchumi wao wanategemea bandari ambazo hata sisi tunazo lakini uendeshaji wetu ni mbovu na kunufaisha watu wachache kama kina karamagi.Kuna nchi uchumi wao wanategemea utalii sisi tuna vivutio vingi vya utalii ikiwemo visiwa ambavyo vingine vinauzwa kinyemela.ili tuendelee tunahitaji vitu 4 watu,ardhi,siasa safi na uongozi bora tumekosa siasa safi na uongozi bora tukipata hivyo sisi ndio tutakuwa watoaji wakubwa wa misaada duniani
 
Tanzania ni nchi iliyojaa waongea ovyo, lakini cha ajabu huyu mzee hata leo akigombea urais kuna watu watampa kuru kutokana na wengi wetu kutokujua kupempbua bivu na mbichi. Umaskini wetu wa kufikiria na kufanya tathmini ndio utakaotuimaliza watanzania na ndio mtaji mkubwa wa wanasiasa wetu uchwara.
 
mliomuangalia vp hakucheka ''ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!'' kama mwanawe?
Au hajasema ''Tanzania itakuwa super?''
 
.....nyie wote mmemchukulia Mzima na statement yake "out of context"..........lol
 
Mzee malecela amesema kwa mujibu wa magazine moja linalochapishwa marekani, Tanzania itakuwa ya 11. Aliisoma magazini hii akiwa marekani (hivi karibuni) hajasema lini. Hiyo magazine ilisema miaka 20 ijayo, China itakuwa ya kwanza ikifuatiwa na India, ya tatu Marekani na Tanzania Ya 11. Amesema Tanzania ni ya 3 Africa kwa utoaji dhahabu, Soda ash ni ya pili Duniani baada ya Marekani, Makaa ya mawe tunayo mengi sana. SISI SIYO MASKINI!..Source: Dkk 45, ITV
KUMBE TUNAMLAUMU NA KUMBEZA MWANAWE BURE TU, KARITHI ... aisee
 
There is some light in his argument, but tatizo letu tunaanza na negativity or denial then build from there badala ya kuangalia suala zima objectively kwanza kwani regardless of the source, kama kigezo ni GDP forecasts, sioni ajabu yoyote Tanzania kuwa the 11th largest economy by 2030; Kama calculations zimetumia OUTPUT METHOD ambapo kinachotazamwa ni just the value of goods and services produced in a country, his statement can hold water.

This method takes into account bidhaa na huduma zote zinazo zalishwa ndani ya uchumi wetu katika kipindi cha mwaka mmoja; This includes output ya all FDIs – mining, oil, gas, na hata huduma za kibenki kwa sekta za oil, gas, mining n.k. Given resources tulizokuwa nazo Tanzania, sio ajabu in 25-30 years tukawa 11[SUP]th[/SUP] largest economy in the World.

Note – hapa welfare ya wananchi haipo katika mahesabu i.e. the issue of the said growth to trickle down to the rural mass isn't taken into account;

Kuufikia ukweli kwa kuanzia in the middle i.e being objective ni rahisi zaidi kuliko kuanza kuangalia ukweli ukiwa tayari umeegemea to the left or right; ni vizuri mara nyingine tukatazama mambo kama haya bila ya kuweka negativity upfront kwanza, kwani ujenzi towards the truth utakuwa wa taabu sana;

Kaka,

acha hizo justifications for the sake of books and journals; reality bites!!! Usije ukaja na zile za, "haaa, ameiba?? ndio ashitakiwe?? mimi nadhani amehamisha tu bila prior approval", lakini tukiicheki vizuri na akirudisha itabalance vitabu nk.

pipe dream??
 
There is some light in his argument, but tatizo letu tunaanza na negativity or denial then build from there badala ya kuangalia suala zima objectively kwanza kwani regardless of the source, kama kigezo ni GDP forecasts, sioni ajabu yoyote Tanzania kuwa the 11th largest economy by 2030; Kama calculations zimetumia OUTPUT METHOD ambapo kinachotazamwa ni just the value of goods and services produced in a country, his statement can hold water.

This method takes into account bidhaa na huduma zote zinazo zalishwa ndani ya uchumi wetu katika kipindi cha mwaka mmoja; This includes output ya all FDIs – mining, oil, gas, na hata huduma za kibenki kwa sekta za oil, gas, mining n.k. Given resources tulizokuwa nazo Tanzania, sio ajabu in 25-30 years tukawa 11[SUP]th[/SUP] largest economy in the World.

Note – hapa welfare ya wananchi haipo katika mahesabu i.e. the issue of the said growth to trickle down to the rural mass isn't taken into account;

Kuufikia ukweli kwa kuanzia in the middle i.e being objective ni rahisi zaidi kuliko kuanza kuangalia ukweli ukiwa tayari umeegemea to the left or right; ni vizuri mara nyingine tukatazama mambo kama haya bila ya kuweka negativity upfront kwanza, kwani ujenzi towards the truth utakuwa wa taabu sana;

Kuondoa assumption juu ya assumpton ndiyo maana tukaomba source ili tuchunguze zaidi.

Inaonekana Mzee mzima alikuwa anabwabwaja kama kawaida yake.
 
Haya maneno nimeyasikia jana katika kipindi cha dakika 45 cha ITV. katika mahojiano na Mheshimiwa Malechela. Najinsi alivyokuwa anaongea mzee nilifurahia sana.

Alisema Alisoma jarida moja la watafiti akiwa anatoka marekani. Alisema Nchi ya kwanza kiuchumi itakuwa china, pili india na tatu marekani. Akasema tanzania itakuwa ya 11 baada ya miaka 20.

Inawezakuwa kunaukweli ndani yake. Vilevile alieleza kuhusu nchi yetu jinsi ilivyo na rasilimali nyingi.

Halafu akagusia kuhusu Muungano akasema wanaochochea kuvunjika kwa muungano wetu huenda ni watu toka nje ambao tangu awali walikuwa hawaungimkono na baada ya muungano walikimbilia uarabuni
.
 
Haya maneno nimeyasikia jana katika kipindi cha dakika 45 cha ITV. katika mahojiano na Mheshimiwa Malechela. Najinsi alivyokuwa anaongea mzee nilifurahia sana.

Alisema Alisoma jarida moja la watafiti akiwa anatoka marekani. Alisema Nchi ya kwanza kiuchumi itakuwa china, pili india na tatu marekani. Akasema tanzania itakuwa ya 11 baada ya miaka 20.

Inawezakuwa kunaukweli ndani yake. Vilevile alieleza kuhusu nchi yetu jinsi ilivyo na rasilimali nyingi.

Halafu akagusia kuhusu Muungano akasema wanaochochea kuvunjika kwa muungano wetu huenda ni watu toka nje ambao tangu awali walikuwa hawaungimkono na baada ya muungano walikimbilia uarabuni
.
haiwezekana na wala haitakaitokee Tanzania kuwa namba 11 kwa GDP duniani labda tuwe na growth rate ambayo haijawahi kushuhudiwa na nchi yoyote duniani
 
Mwaka 2005 anagombea ridhaa ya chama chake agombee uraisi mkewe Anne Kilango Malecela alitengeneza kanga zilizo andikwa ANNA INN ANNA OUT.

Walijiongopea kuwa lazima mzee ashinde chaguzi huo na mbwembwe zikaanza mapema

Katika interview iliyokuwa inarushwa na ITV leo, Mzee Malecela aliulizwa na mtangazi kuhusu inflation inavyomgusa Mtanzania. Kwa kweli it was very poor analysis for a person with such extensive CV.



John Malecela is one of the most experienced Tanzanian politicians. However his efforts to seek his party's nomination for presidential candidacy did not yield any favorable results on his part both in 1995 and 2005.
Positions held


  • Tanzania Permanent Representative to the United Nations - 1964-1966
  • Tanzanian Ambassador to Ethiopia and the OAU - 1967
  • Minister of Foreign Affairs - 1972-1973
  • Communication and Transport - 1973-1974
  • Mineral Resources and Agriculture 1975-1975
  • Minister in the East African Community - 1975-1976
  • Regional Commissioner of Iringa - 1980-1984
  • Member of the Group of Eminent Persons of the Commonwealth on South African situation - 1985
  • Tanzanian High Commissioner to the United Kingdom - 1989-90
  • Prime Minister and First Vice President 1990-1994
  • Vice Chairman of the ruling Party, Chama cha Mapinduzi (CCM) - 1995 to 2007
  • Member of Parliament for Mtera - 1990 - 2010
 
Mimi nadhani sipo peke yangu katika kutafuta undani juu ya uhuni wa Malecela uliopelekea kulazimika kujiuzulu mwaka 1994. Kama una ufahamu wowote juu ya uhuni uliozungumzwa wakati ule, kindly share;
Alipigwa tu majungu ili asije kugombea urais ili waliokuwa wanajua an uwezo huo waweke mtu wao waliokuwa wanamwandaa.Nafikiri Malecela alikuwa ni mmoja wa wasomi wazuri sana enzi za mwalimu na mwenye uzoefu na masuala ya kimataifa.
 
Mzee malecela amesema kwa mujibu wa magazine moja linalochapishwa marekani, Tanzania itakuwa ya 11. Aliisoma magazine hii akiwa Marekani (hivi karibuni) hajasema lini.

Hiyo magazine ilisema miaka 20 ijayo, China itakuwa ya kwanza ikifuatiwa na India, ya tatu Marekani na Tanzania Ya 11. Amesema Tanzania ni ya 3 Africa kwa utoaji dhahabu, Soda ash ni ya pili Duniani baada ya Marekani, Makaa ya mawe tunayo mengi sana.

SISI SIYO MASKINI!..

Source: Dkk 45, ITV

11 kutoka chini au juu? maana zote ni 11 inategema unaanza kuhesabu wapi
 
Malecela once again has proved kwamba nje ya Sokoine na Nyerere, Tanzania haijawahi kuwa na Waziri mkuu mwingine mwenye uwezo wa kiuongozi kama mzee huyu; I remain to wonder mambo mawili:

1. Uhuni wake ambao tuliambiwa ndio ulipelekea ashinikizwe kujiuzulu ulikuwa ni uhuni wa namna gani? Wengine tulikuwa wadogo kuelewa mambo kwa undani;

2. Ingetokea Malecela akawa Rais wa tatu au wa nne wa Tanzania, angefanya kitu gani tofauti?

angeingiza nchi oic, na zanzibar sasa hivi ingekuwa dubai. Si nasikia alikiwa akiitwa 'jumanne?'
 
Back
Top Bottom