majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
Huwaga inaniwia vigumu sana kuamini kitu chochote kinachosemwa na mtu au kiongozi wa CCM.....................huwa wanaropoka tu bila ya kuweka evidence
Mimi nadhani sipo peke yangu katika kutafuta undani juu ya uhuni wa Malecela uliopelekea kulazimika kujiuzulu mwaka 1994. Kama una ufahamu wowote juu ya uhuni uliozungumzwa wakati ule, kindly share;
eti eeehMzee malecela amesema kwa mujibu wa magazine moja linalochapishwa marekani, Tanzania itakuwa ya 11. Aliisoma magazine hii akiwa Marekani (hivi karibuni) hajasema lini.
Hiyo magazine ilisema miaka 20 ijayo, China itakuwa ya kwanza ikifuatiwa na India, ya tatu Marekani na Tanzania Ya 11. Amesema Tanzania ni ya 3 Africa kwa utoaji dhahabu, Soda ash ni ya pili Duniani baada ya Marekani, Makaa ya mawe tunayo mengi sana.
SISI SIYO MASKINI!..
Source: Dkk 45, ITV
There is some light in his argument, but tatizo letu tunaanza na negativity or denial then build from there badala ya kuangalia suala zima objectively kwanza kwani regardless of the source, kama kigezo ni GDP forecasts, sioni ajabu yoyote Tanzania kuwa the 11th largest economy by 2030; Kama calculations zimetumia OUTPUT METHOD ambapo kinachotazamwa ni just the value of goods and services produced in a country, his statement can hold water.
This method takes into account bidhaa na huduma zote zinazo zalishwa ndani ya uchumi wetu katika kipindi cha mwaka mmoja; This includes output ya all FDIs mining, oil, gas, na hata huduma za kibenki kwa sekta za oil, gas, mining n.k. Given resources tulizokuwa nazo Tanzania, sio ajabu in 25-30 years tukawa 11[SUP]th[/SUP] largest economy in the World.
Note hapa welfare ya wananchi haipo katika mahesabu i.e. the issue of the said growth to trickle down to the rural mass isnt taken into account;
Kuufikia ukweli kwa kuanzia in the middle i.e being objective ni rahisi zaidi kuliko kuanza kuangalia ukweli ukiwa tayari umeegemea to the left or right; ni vizuri mara nyingine tukatazama mambo kama haya bila ya kuweka negativity upfront kwanza, kwani ujenzi towards the truth utakuwa wa taabu sana;
Huyo mzee kama alieleza kuwa utabiri wa hiyo magazine, ulieleza kuwa after 2015, nchi itaendeshwa na chama kingine na siyo CCM, angalau kidogo madai hayo yangeweza kuingiaingia kichwani. Kwanza imagine hata kama hiyo magazine imetabiri hivyo kwa kuzingatia ugunduzi mkubwa wa gesi na mafuta nchini kwetu, lakini uongozi huo huo wa magamba ndiyo tunaambiwa tayari weshahongwa mabilioni ya pesa na hayo makampuni ya kuchimba gesi na mafuta na kuyaficha kwenye mabenki ya uswisi, hivyo kwa mazingira hayo, unategemea muujiza gani wa uongozi wa design hiyo, kututoa kutoka among 10 poorest countries in the world, na kuwa among 12 richest countries in the world!! Huo utakuwa moja ya miujiza mikubwa kutokea duniani, tokea kuumbwa kwake!!Mzee malecela amesema kwa mujibu wa magazine moja linalochapishwa marekani, Tanzania itakuwa ya 11. Aliisoma magazine hii akiwa Marekani (hivi karibuni) hajasema lini.
Hiyo magazine ilisema miaka 20 ijayo, China itakuwa ya kwanza ikifuatiwa na India, ya tatu Marekani na Tanzania Ya 11. Amesema Tanzania ni ya 3 Africa kwa utoaji dhahabu, Soda ash ni ya pili Duniani baada ya Marekani, Makaa ya mawe tunayo mengi sana.
SISI SIYO MASKINI!..
Source: Dkk 45, ITV
huyu mzee anazeeka vibaya..ama hamjui?