Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
Njia nzuri ya Magufuli kuimarisha ULINZI wake hasa ktk nchi zetu za kiafrika, ATOE WALE WANA USALAMA NA WALINZI WOTE WA Jakaya Kikwete karibu yake...!!!
In other words, WALE SHUSHUSHU wa JK hata wasikaribie kujua Magufuli anafanya nn, HILI NI MUHIMU KULIKO YOTE.... This is the biggest issue... ULINZI wa Rais maana yake wale wanaomlinda Rais HAWATAKIWI KABISA KABISA kutoa siri za RAIS... so Magufuli inatakiwa from bodyguard to State House Staffs, to close people around him, WAWE WATU WAKE DAMUDAMU... tupa kuleeeeeee watu wa JK....
Magufuli aongezewe ulinzi wa nini wakati ni kipenzi cha watz,wamuue waone mimi nitaanzisha kundi la ISIS kwaajili ya kuwaua mafisadi wote hata kama haujashiliki kuua,na nitaanza na mkuu wao yule mwenye nywele nyeupe alafu namaliza na madereva wa magari yanayobeba makontena
nini 14:58 Today
Nani amuongezee ulinzi ilihali yeye ndie
serikali.si ajiongezee ulinzi.japo mi naamini
watanzania tupo pamoja nae.
mlinzi wa kweli ni Mungu , tumwombee
Vipi cc ya ccm jana iligusia meli ya kigogo iliyokamatwa ughaibuni na meno ya tembo?
Hapa agenda ni ulinzi wa rais we unakurupuka na meli iliyokamatwa ughaibuni wapi na wapi
Sasa mbona umechangia?
Nakuweka sawa tu maana huko uliko ni nje ya mada
Na ole wao wathubutu kumdhuru raisi wetu Magufuli japo kwa lolote tu,
Nadhani ndio watajua kwamba Watanzania walikua wanampenda na kumhitaji au lah.
Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
Labda anamwombea kazi ya ubaunsa Le Mutuz.....you never know
Nje ya mada wakati bado unaendelea kuchangia?
Mmawia
Naamin Mungu atamlinda.
Patachimbika....