Malecela: Magufuli hatarini

Malecela: Magufuli hatarini

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,148
Reaction score
162,552
Waziri mkuu mstaafu, bwana John Malecela, amesema ana hofu ya Raisi Magufuli kuhujumiwa na ameitaka serikali imuongezee ulinzi na kwamba isidharau.Mzee Malecela pia amekwenda mbali zaidi kwa kukumbuka jinsi Mwalimu Nyerere alivyotaka kupinduliwa.

Chanzo:JamboLeo

Bora na wakubwa nao sasa waseme,wengine tumebaki tu yetu macho na masikio.
 
Hawezi kuwa mshauri wa kitaifa tena baada ya Mtera kumuona hana la maana bora kibajaji. Atuambie hiyo hatari no ipi kwanza na nani anamshuku kufanya hayo. Sio wamelala na mkewe aliyepigwa chini ubunge kama yeye wakiamka ndoto zao wanazitoa hadharani zijadiliwe.
 
Hawezi kuwa mshauri wa kitaifa tena baada ya Mtera kumuona hana la maana bora kibajaji. Atuambie hiyo hatari no ipi kwanza na nani anamshuku kufanya hayo. Sio wamelala na mkewe aliyepigwa chini ubunge kama yeye wakiamka ndoto zao wanazitoa hadharani zijadiliwe.

Duuuh........ !
 
Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
 
Hawa ndo wanaotaka kumuua nadhani.yeye ndie atakua shahdi number moja mahakamani.
 
Hii nchi bana kila mtu anatafuta KIKI,,, amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama hawezi kushindwa kujua mahitaji yake kiulinzi na usalama, unless kama watu wanamuona -----. Magufuli anajua nini anafanya
 
Hawezi kuwa mshauri wa kitaifa tena baada ya Mtera kumuona hana la maana bora kibajaji. Atuambie hiyo hatari no ipi kwanza na nani anamshuku kufanya hayo. Sio wamelala na mkewe aliyepigwa chini ubunge kama yeye wakiamka ndoto zao wanazitoa hadharani zijadiliwe.

Mkuu weka akiba ya maneno
 
Na ole wao wathubutu kumdhuru raisi wetu Magufuli japo kwa lolote tu,
Nadhani ndio watajua kwamba Watanzania walikua wanampenda na kumhitaji au lah.
 
Yeye huyu 2005 alisema urais si kubeba zege. Atuambie sasa kama angeweza haya, na arudishe pampu za visima alizong'oa baada ya bajaj kumuangusha
 
Yeye huyu 2005 alisema urais si kubeba zege. Atuambie sasa kama angeweza haya, na arudishe pampu za visima alizong'oa baada ya bajaj kumuangusha

Ah ah ah yeye na mwanaye uwa wanatafuta nitoke vipi.

Nani wa kumpindua rais kwa sasa?? Waache uoga, magufuli amejipa kazi ya kukamua vidonda ndugu ...kama wahusika wamo wasitishie kumpindua, muache uoga yeye akamue , akabe mpaka penati na ikibidi akabe na kupiga kipenga!!
 
Malisa G alishasema ikibidi magufuli awafute baadhi ya viongozi kwenye list ya historia ya taifa ili.
 
Waziri mkuu mstaafu, bwana John Malecela, amesema ana hofu ya Raisi Magufuli kuhujumiwa na ameitaka serikali imuongezee ulinzi na kwamba isidharau.Mzee Malecela pia amekwenda mbali zaidi kwa kukumbuka jinsi Mwalimu Nyerere alivyotaka kupinduliwa.

Chanzo:JamboLeo

Bora na wakubwa nao sasa waseme,wengine tumebaki tu yetu macho na masikio.

Asante sana mzee Malec kuikumbusha serikali. Raisi anafanya mambo yenye maslahi kwa umma mzima na wachache lazima watamchukia. Naunga mkono aongezewe ulinzi.
 
Wenye kufikiri kwa mapana na marefu wataweka akiba ya maneno badala ya kumbeza huyu mzee.
 
Waziri mkuu mstaafu, bwana John Malecela, amesema ana hofu ya Raisi Magufuli kuhujumiwa na ameitaka serikali imuongezee ulinzi na kwamba isidharau.Mzee Malecela pia amekwenda mbali zaidi kwa kukumbuka jinsi Mwalimu Nyerere alivyotaka kupinduliwa.

Chanzo:JamboLeo

Bora na wakubwa nao sasa waseme,wengine tumebaki tu yetu macho na masikio.
Kweli kabisa.
Tukumbuke na yaliyotokea "ajali" ya Sokoine.
Wanaotikiswa safari hii wamo kambini mwa watawala.
 
Back
Top Bottom