Ahsante Mzee Bob, na heshima kwa wazee wote wa bodi hii, Wazee kumradhi ninapita tu sio mhamiaji, lazima niwe mkweli hii forum kwangu ni baridi mno, ni forum kali na ya heshima no Question or butts about it ila bado ninasubiri itakapotokea, yaani yenye fimbo na mawe na mavitu, bwana Filga kudos, ila nitapita tu ikibidi otherwise heshima mbele wakuu! bado niko US, mpaka mwisho wa wiki hii ndio nitarudi bongo tena baada ya kama miezi miwili huku majuu kusafisha macho,
Mzee Filga heshima Mkuu tena, ila tu nitoe salaam kwa wakuu wote wanaonitumia message mbali mbali kuwa zimefika na heshima kwenu wote, hatuna kijiwe kwa sasa, lakini ninaamini kinakuja karibuni na guess what? yaani nina mavitu mpaka yanataka kuniangusha ninasubiri kuyamwaga!
Haya mzee Filga na wazee wote heshima mbele!