Malecela and Dr. Salim - Into Oblivion?

Mchambuzi wa mambo, Bwana Joka Kuu ameibuka na kusema kuwa SAS anatuhuma za utovu wa maadili alipokuwa makotopora. Ameendelea kusema kwamba Bwana SAS alifanya kitendo kingine cha aibu kuhusiana na Balozi M, ambaye hakutaka kumalizia jina lake.

Kwa wachambuzi wengine, uamuzi wa Joka Kuu kuogopa kumwaga data kuhusu SAS unaweza kumfanya aitwe jina jipya la JOGA kuu.

Ama kama data zake zitakuwa ni za kweli, anaweza kujikuta katika kundi la kujulikana kama JINGA kuu.

........ndiyohiyo
 
Kwa kweli credibility ya Jokakuu iko matatani sana. Mimi namsihi aje hapa amwage hizo "ze dataz". Jana alijaribu kukwepa kwa kusema kumzungumzia Salim ktk thread ya Malecela ni kutoka nje ya mada. Shukurani kwa mwanzilishi wa mada hii maana sasa hana ujanja labda asingizie yuko katika maandalizi ya Thanksgiving na hana muda wa kuja hapa.
 
Pundit,Nyani Ngabu,

..hivi nyinyi mna umri gani lakini?

..mbona Bibi Ntilie amenielewa na kuamua kuyamaliza?

..thread hii ni ya CYGWIYEMWISI JOHN MALECELA. masuala ya SAS yalikuwa ni side show tu.

..naomba turudi kwenye mada kuu.

mkuu unaweza kutupa ze dataz
 
mkuu unaweza kutupa ze dataz
Kachanchabuseta,

..uchaguzi ukiwa kati ya Dr.Slaa na Dr.Salim, basi kutakuwa na side show ya Mhando vs Balozi.M.

..ukiona mwana CCM yeyote yule over 50 yrs halafu amefanya kazi kwenye system ujue lazima ana kashfa fulani.

..mchukulie mtu kama Ismail Aden Rage. Je, una habari kwamba miaka ya 90 aliwahi kufukuzwa kazi CDA[mamlaka ya ustawishaji makao makuu dodoma] kutokana na kashfa ya ufisadi??

cc: Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Haha haha kweli muda unapita na mambo yanaenda pia, yule yule aliyelalamikiwa kipindi kile ni yule yule anaye lalamikiwa sasa.

Kwamba alishindwa kurekebisha kile kilichojulikana kama ni makosa ?

Tanzania yetu ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani button za like mlikuwa hamzioni
 
Back in days.
Hapo Lemutuz hajarudi bongo
 
Wagogo wote Hawana akili. Sio Malecela, sio Ndugai, sio Lisinde.... Dodoma imelaaniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…