Malawi: Balozi Polepole akagua gwaride la kijeshi

Malawi: Balozi Polepole akagua gwaride la kijeshi

Ubalozi ni cheo kikubwa, ni mwakilishi wa raisi katika taifa husika. Anakagua gwaride kwa niaba ya raisi. Ndugu Nape unaonaje hapo?
Asa balozi wa Malawi ni sawa na katibu tarafa, kwanza pole pole alipelekwa na bus la taqwa, je angekuwa balozi wa nchi za ulaya si tungekoma na vichambo vya wahuni?
 
Unamjua Moses nnauye?alikuwa mpiganaji wa jwatz,alifanya Mengi kwenye jeshi na ccm,nenda kamsome ndio utajua nape nnauye yupo deep kiasi gani ndani ya system
Usiwapeleke watu mrama!!

Mbona hueleweki umemwambia akamsome Moses nnauye alafu akimaliza ndo atajua ni jinsi gani nape nnauye yuko deep kwenye system.

Sakwanini usimwambie akamsome tu nape nnauye uumpe kazi yote hiyo,


Kwahiyo tukitaka kumjua makongoro kwenye system tukamsome Julius k. Nyerere sio ndio??
 
Katibu mwenezi mstaafu wa CCM ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume waliounganisha TANU na ASP.

View attachment 2263066
Ok, tunaona matunda ya darasa la itikadi limemwaga neema.
 
The man himself. Go go, let's meet in 2025.
Aiseee hivi vichekesho mnavitoaga wapi? Mabalozi wanaokwea mapipa huko Canada na ulaya wala hawawazi, eti mhuni huyu aliyepelekwa na bus la taqwa ndo anapigiwa chapuo aje amtoe maza kwenye kiti, hahaha hahahaha aiseee umenivunja mbavu zangu.
 
Usiwapeleke watu mrama!!

Mbona hueleweki umemwambia akamsome Moses nnauye alafu akimaliza ndo atajua ni jinsi gani nape nnauye yuko deep kwenye system.

Sakwanini usimwambie akamsome tu nape nnauye uumpe kazi yote hiyo,


Kwahiyo tukitaka kumjua makongoro kwenye system tukamsome Julius k. Nyerere sio ndio??
 
Balozi ni muwakilishi wa Rais hata anapewa Present army salute ya kijeshi na ndio anayopewa Rais, mawaziri, mabalozi,RC's qnd so on wangempigia 21 canons hapo tungeuliza maswali ila hii ya ukaguzi mbona hata wakuu wa wilaya na ni mikoa wanafunga mafunzo mbali mbali ya kijeshi hufanya Mkuu.

Kwahiyo Polepole ni mkuu wa mkoa au wilaya gani huko Malawi?
 
Polepole ni next level
Mna lengo la kumpoteza kabisa Pole pole huyo, na kwanza ni mtu hasiejielewa ni tofauti kabisa na mnavyomuelezea, kama angekuwa mtu mwenye kujielewa hasingekubali kununulika kutoka kwenye msimamo wake wa awali wa katiba mpya.
 
Kabisa, hii nchi kuna masihara mengi sana. Mpaka Jiwe akawa Rais hivi hivi
Lini ulipoamua wewe kama mwananchi wa kawaida nani awe Rais na ikatokea hivyo?

Una mponda Magufuli kila siku hata aibu huna na mtu ni marehemu.

Hakuna mkamilifu hapa chini ya jua kila mtu na mapungufu yake. Hakuna Rais wa kukuletea wewe maisha mazuri zaidi ya kupambana wewe mwenyewe
 
Wengi wa walioidharau Corona waliondoka, nawakumbuka watu wangu wa karibu hasa waliokuwa karibu na baba jenet waliondoka.

Mungu awape pumziko jema huko mliko
Vipi huko Ukraine hakuna Corona?
 
Back
Top Bottom