Hata kama cc ya ccm ndiyo inaamua lakini kwa jiwe wamejifunza kitu, haitakuja kutokea tena mtu kama jiwe kuingia tena IkuluHaisaidii chochote zaidi ya kupoteza muda wako bure
Hakuna Rais asiye muovu.
Na huna uwezo wa kupanga nani awe Rais.
Magufuli alipendwa baada ya utendaji wake uliotukuka kabla hajawa Rais.
Wewe endelea kupoteza muda wako lakini anayeamua nani awe Rais ni cc ya ccm siyo wewe wala wapiga kura.