Kabisa, hii nchi kuna masihara mengi sana. Mpaka Jiwe akawa Rais hivi hiviH.Polepole a very smart dude, atafika mbali sana, muda utaongea!
Kabisa, hii nchi kuna masihara mengi sana. Mpaka Jiwe akawa Rais hivi hiviH.Polepole a very smart dude, atafika mbali sana, muda utaongea!
Watu wengi ni wazuri kujenga hoja...kuisimamia ndio shida..Polepolee wa bunge la katiba ni yofauti na huyo...mwili mmoja watu wawili tofauti...Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...
Polepole ni mzuri sana katika kujenga hoja makini.
Hivi calculation ya 1.5T aliipatiaMnyonge mnyongeni haki yake mpeni...
Polepole ni mzuri sana katika kujenga hoja makini.
Ubunge una malupulupu yakutosha kuliko kazi yoyote Ile. Mshahara wa balozi unaingia mara 2Ubalozi na ubunge upi deal?
Nani alikuambia viongozi wanawekwa na wananchi? Wewe uko tu kama kinga ya uzaziLabda dunia ianze upya, haturudii makosa tena kuweka Sukuma gang madarakani.
Umsamehe,Kunyooka na nini tena, mbona kama nje ya mada. Mimi nasema tusije kosea tena kumweka kichaa Ikulu wewe unasema ntanyooka. Uko sawa upstairs kweli au wewe ni sukuma gang?
AhsanteUbunge una malupulupu yakutosha kuliko kazi yoyote Ile. Mshahara wa balozi unaingia mara 2
Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Polepole ni genius acha hao wanaosema chama ni cha kwao siku koti lao likiondoka watajificha sehemu ambayo haifichiki!
Akiwa Rais wanaCCM wataendeshwa kwa ndege badala ya V8alipigania Katiba mpya na Demokrasia kabla ya 2015…
2015-2021 alipinga Katiba Mpya na Deomkrasia
2021 to date anapigana Demokrasia na Katiba Mpya
'msimano wake' other factors remain constant
2015 - 2021 yeye alipata nafasi ya kutatua kero za wananchi na ushahidi upoalipigania Katiba mpya na Demokrasia kabla ya 2015…
2015-2021 alipinga Katiba Mpya na Deomkrasia
2021 to date anapigana Demokrasia na Katiba Mpya
'msimano wake' other factors remain constant
Balozi analipwa mpaka kufaUbunge una malupulupu yakutosha kuliko kazi yoyote Ile. Mshahara wa balozi unaingia mara 2
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Ubunge unaweza kukagua gwaride la heshima?
Magufuli alimweza sanaalipigania Katiba mpya na Demokrasia kabla ya 2015…
2015-2021 alipinga Katiba Mpya na Deomkrasia
2021 to date anapigana Demokrasia na Katiba Mpya
'msimano wake' other factors remain constant
Ndiyo waliounganisha Tanu na ASPKwani CCM ni ya Nyerere na Karume mkuu?
Hata Lisu aliyakana maneno yake kuwa Lowasa ni fisadiMagufuli alimweza sana
Alimfanya ayakane maneno yake ya 2015 kwenda nyuma
Wote hao wanaendeshwa na tumboHata Lisu aliyakana maneno yake kuwa Lowasa ni fisadi
Nenda na wewe ukakague hilo gwaride uone kama nyumbu wanaruhusiwaHilo ni gwaride au ukhanithi? Toka lini balozi akakagua jeshi? Hayo makampuni ya ulinzi jamii ndio mnasema jeshi? Hata kama ni jeshi kweli basi litakuwa jeshi la kipuuzi sana mpaka kukubali kukaguliwa na muhuni.
kachanja mbugaAmechanja chanjo ya uviko au hakuchanja ?? Naona barakoa hataki kabisa !! Jamaa ana msimamo usioyumba !!