No worries, lakini Sukuma gang hawatakuja kuingia madarakani tena, tumejifunza kwa JiweNani alikuambia viongozi wanawekwa na wananchi? Wewe uko tu kama kinga ya uzazi
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
No worries, lakini Sukuma gang hawatakuja kuingia madarakani tena, tumejifunza kwa JiweNani alikuambia viongozi wanawekwa na wananchi? Wewe uko tu kama kinga ya uzazi
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kama chama kingekuwa na mwenyewe basi watoto wa Hayati Nyerere na Hayati Karume ndio wangestahili kusema Chama chao !! Sio wanojimwambafay kwa sasa ! Lakini kwa mbali naona wapo watu wanausoma mchezo tu IPO siku watu watatafutana !!Polepole ni genius acha hao wanaosema chama ni cha kwao siku koti lao likiondoka watajificha sehemu ambayo haifichiki!
Everything is happening for a reason !! Na siku zote tunaamini kwamba Mamlaka huteuliwa na Mungu !! Kwahiyo nadhani mbele ya safari tutakuja kujua ni kwanini Mungu alimteua yule Mheshimiwa japo alimwacha atawale kwa miaka sita tu !Polepole hana tofauti na bwana yule. Hawa watu tuwe nao makini sana tusije rudia kumuweka kichaa ikulu
Hapo sasa !! Na katika siasa kitu kinachohitajika sana ni bahati tu wala sio ujuaji wa kujenga hoja wala nini !!Watu wengi ni wazuri kujenga hoja...kuisimamia ndio shida..Polepolee wa bunge la katiba ni yofauti na huyo...mwili mmoja watu wawili tofauti...
When God says yes no one can say no !! By Harmonize konde boy !! Anaweza akaja mwingine zaidi ya Jiwe !!No worries, lakini Sukuma gang hawatakuja kuingia madarakani tena, tumejifunza kwa Jiwe
Kabisa mkuuWhen God says yes no one can say no !! By Harmonize konde boy !! Anaweza akaja mwingine zaidi ya Jiwe !!
Kwani wewe ndio unatoa uongozi TZ?No worries, lakini Sukuma gang hawatakuja kuingia madarakani tena, tumejifunza kwa Jiwe
Nenda na wewe ukakague hilo gwaride uone kama nyumbu wanaruhusiwa
Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Dadadeki, alafu kakataa wahuni kwa kutinga pasi barakoa 😆!.Polepole the genius.
Tena na zulia jekundu?Ubunge unaweza kukagua gwaride la heshima?
Sasa utajuaje moyo wa mtu kichaka. Unaweza kunpa uongozi askofu halafu akageuka kuwa sauli mtesa watuHatuwezi kurudia kosa hilo milele.
Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Kabisa mkuuHii Picha ihifadhiwe kwa matumizi ya mbeleni sanaaa huko.
SanaPolepole the genius.
Waliyoyaishi kwa miaka nane yeye na mbowe na kuzunguka tanzania nzima kutuaminisha lowasa fisadi na hafai kuwa hata mtendaji wa kijiji.Hata Lisu aliyakana maneno yake kuwa Lowasa ni fisadi
Hahaha njaa mbaya sana,Waliyoyaishi kwa miaka nane yeye na mbowe na kuzunguka tanzania nzima kutuaminisha lowasa fisadi na hafai kuwa hata mtendaji wa kijiji.