Bikirajohola
JF-Expert Member
- Jun 11, 2022
- 356
- 634
- Thread starter
- #101
Lisu na Lema wanarudi lini? Kulelewa rahaChakubanga
Lisu na Lema wanarudi lini? Kulelewa rahaChakubanga
How?Unateseka ukiwa wapi?
Kwanini nidharau nchi isiyo nihusu? Wapi umeona kuna dharau?Acha kudharau nchi za wenzako wewe!
Kama chama kingekuwa na mwenyewe basi watoto wa Hayati Nyerere na Hayati Karume ndio wangestahili kusema Chama chao !! Sio wanojimwambafay kwa sasa ! Lakini kwa mbali naona wapo watu wanausoma mchezo tu IPO siku watu watatafutana !!
Polepole yupo lakiniWengi wa walioidharau Corona waliondoka, nawakumbuka watu wangu wa karibu hasa waliokuwa karibu na baba jenet waliondoka.
Mungu awape pumziko jema huko mliko
Corona huwa inaondoka na watu waliofikisha umri wa miaka kuanzia 55 na kuendelea ! Tena wale ambao wana health problems kadhaa !! Hata huko Ulaya ndivyo ilivyokuwa ! !!Polepole yupo lakini
Jisemee wewe, bwege Mkubwa weweKunyooka na nini tena, mbona kama nje ya mada. Mimi nasema tusije kosea tena kumweka kichaa Ikulu wewe unasema ntanyooka. Uko sawa upstairs kweli au wewe ni sukuma gang?
Katika maisha ukitaka kujifunza kuwa karibu na watu wa aina ya comrade polepole,,Katibu mwenezi mstaafu wa CCM ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume waliounganisha TANU na ASP.
View attachment 2263066
Polepole mmoja ni sawa na Chadema yote na chenji inabakiHivi hata mabalozi wanaoletwa hapa Tz nao huwa wanakagua gwaride la JWTZ au hata la Polisi?au ni protokali za Malawi tu?
Mbona kama kaheshimiwa sana?Balozi Polepole na mapokezi ya heshima
Tatizo mwananchi hachaguagi rais bali cc ya ccmHatuwezi kurudia kosa hilo milele.
ubunge una heshima yake na kipato pia na mpenyo wa mambo mengi. hata hao mabalozi wanautamani. kama unabisha kamuulize Dr slaaUbalozi na ubunge upi deal?
Kawaida kwa balozi mpya kabla ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa rais,hupewa nafasi ya kukagua gwaride.Mbona kama kaheshimiwa sana?
Huyu jamaa namtabiria makubwa mbele yake
Alikuwa genius enzi zileee ,kama ilivyokuwa kwa Bashiru na Kabudi( those days). Marehemu alikuwa fundi wa kunyofoa ubongo ukikanyaga tu viunga vya ccm ubongo unaacha ulikotokaPolepole ni genius acha hao wanaosema chama ni cha kwao siku koti lao likiondoka watajificha sehemu ambayo haifichiki!
ukute hapo ana KY gel mfuko wa koti.Katibu mwenezi mstaafu wa CCM ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume waliounganisha TANU na ASP.
View attachment 2263066
Sana tuMbona kama kaheshimiwa sana?
Huyu jamaa namtabiria makubwa mbele yake