Malawi: Balozi Polepole akagua gwaride la kijeshi

Malawi: Balozi Polepole akagua gwaride la kijeshi

Katibu mwenezi mstaafu wa CCM ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume waliounganisha TANU na ASP.

View attachment 2263066
Shule ya Uongo(zi) hana time nayo tena?
 
Maisha ni hadithi.

Angalia namna unavyoiandika yako.
 
Wote waliyoodharau science na kuamini ushirikina Corona iliwaondoa
Corona na Ukimwi ni magonjwa kwa ajili ya watu wajinga duniani yaani wale wanaodanganyika kirahisi (gullible people)

Hata umdharau vipi Magufuli bado anabaki kuwa kwenye historia kwamba aliwahi kuwa Rais wa Tanzania.

Yeye ni binadamu kama binadamu wengine ana mapungufu yake na mazuri yake

Wewe kukaa hapa unamponda kila siku utadhani sanduku la kura ndilo linaloamua nani awe Rais Tanzania ni kupoteza muda wako bure bila kujua
 
Hata mimi nikinyamaza bado mawe yatapaza sauti, hii yote na kwasababu ya uovu wake.
Hakuna Rais asiye muovu. Hakuna Rais ambaye siyo dikteta.

Marais wote wapo hivyo.

Punguza hizo chuki ulizonazo kwa Magufuli hazikusaidii chochote

Marehemu hasemwi kwa ubaya

Pia Urais ni taasisi siyo mtu mmoja

Hata huyu Samia alikuwa ndani ya Baraza la mawaziri la Magufuli
 
Hakuna Rais asiye muovu. Hakuna Rais ambaye siyo dikteta.

Marais wote wapo hivyo.

Punguza hizo chuki ulizonazo kwa Magufuli hazikusaidii chochote

Marehemu hasemwi kwa ubaya

Pia Urais ni taasisi siyo mtu mmoja

Hata huyu Samia alikuwa ndani ya Baraza la mawaziri la Magufuli
Marehemu hasemwi kwa ubaya hiyo ni sheria au matamanio yako, maovu yake lazima tuyaseme Kama reference ya kufunzia kizazi na kizazi.
 
Marehemu hasemwi kwa ubaya hiyo ni sheria au matamanio yako, maovu yake lazima tuyaseme Kama reference ya kufunzia kizazi na kizazi.
Hakuna mtu asiye na maovu

Hata wewe una maovu yako
 
Hakuna Rais asiye muovu. Hakuna Rais ambaye siyo dikteta.

Marais wote wapo hivyo.

Punguza hizo chuki ulizonazo kwa Magufuli hazikusaidii chochote

Marehemu hasemwi kwa ubaya

Pia Urais ni taasisi siyo mtu mmoja

Hata huyu Samia alikuwa ndani ya Baraza la mawaziri la Magufuli
Nakuhakikishia Jiwe atasemwa vizazi na vizazi ili kosa lililotokea lisije kujorudia tena. Na kila mwenye akili timamu asimamie alisimamie hilo tusije weka tena mtu kama yule
 
Corona na Ukimwi ni magonjwa kwa ajili ya watu wajinga duniani yaani wale wanaodanganyika kirahisi (gullible people)

Hata umdharau vipi Magufuli bado anabaki kuwa kwenye historia kwamba aliwahi kuwa Rais wa Tanzania.

Yeye ni binadamu kama binadamu wengine ana mapungufu yake na mazuri yake

Wewe kukaa hapa unamponda kila siku utadhani sanduku la kura ndilo linaloamua nani awe Rais Tanzania ni kupoteza muda wako bure bila kujua
Mimi simpondi ila naeleza yale maovu aliyowafanyia watanzania. Hata wewe una haki ya kueleza yale mazuri uliyoyaona kwake. Kawaulize watu wa Kagera ndiyo utaelewa na hapo sijataja makundi mengine mengi.
 
Kumbe wale watu laki 5 waliofariki US kwa corona nao walidharau sayansi!
Kuna waliokufa kwa changamoto zao nyingine tofauti na Corona. Hata leo hii bafo hapa Tanzanian kuwa watu wanakufa kwa sababu tofauti tofauti. Mimi namzungumzia yule muovu aliyekataa science na kuamini ushirikina.
 
Wamalawi wapo tofauti sana Askari bara barani anaanza kukupigia saluti raia harafu na salamu ndio anaanza kukukagua kwa heshima wanazotoa hao jamaa kwa sisi tulioishi huku mtu akisimamisha tuu gari cha kwanza anakunja sura huko tunaishi nao
Isanga Unamanisha wanaheshimu raia na zao kuliko askari wetu. Hawaombi rushwa?
 
Nakuhakikishia Jiwe atasemwa vizazi na vizazi ili kosa lililotokea lisije kujorudia tena. Na kila mwenye akili timamu asimamie alisimamie hilo tusije weka tena mtu kama yule
Haisaidii chochote zaidi ya kupoteza muda wako bure

Hakuna Rais asiye muovu.

Na huna uwezo wa kupanga nani awe Rais.

Magufuli alipendwa baada ya utendaji wake uliotukuka kabla hajawa Rais.

Wewe endelea kupoteza muda wako lakini anayeamua nani awe Rais ni cc ya ccm siyo wewe wala wapiga kura.
 
Haisaidii chochote zaidi ya kupoteza muda wako bure

Hakuna Rais asiye muovu.

Na huna uwezo wa kupanga nani awe Rais.

Magufuli alipendwa baada ya utendaji wake uliotukuka kabla hajawa Rais.

Wewe endelea kupoteza muda wako lakini anayeamua nani awe Rais ni cc ya ccm siyo wewe wala wapiga kura.
Huyo ni timu gaidi achana nae
 
Isanga Unamanisha wanaheshimu raia na zao kuliko askari wetu. Hawaombi rushwa?
Rushwa kwa Raia wao sio kipaumbele chao Raia anaendesha gari toka Dedza mpaka Kasumulu ni kununua mafuta tuu road block hawana mambo mengine kama Raia wao huwa wanakata GR kama Tsh 20,000 hivi ukiwa nayo hiyo usumbuliwi kabisa hata gari ikiwa mbovu na wanatoa Trafiki..kule gari binafsi inabeba abiria mjini lilongwe na miji mingine hakuna usumbufu wowote..
 
Rushwa kwa Raia wao sio kipaumbele chao Raia anaendesha gari toka Dedza mpaka Kasumulu ni kununua mafuta tuu road block hawana mambo mengine kama Raia wao huwa wanakata GR kama Tsh 20,000 hivi ukiwa nayo hiyo usumbuliwi kabisa hata gari ikiwa mbovu na wanatoa Trafiki..kule gari binafsi inabeba abiria mjini lilongwe na miji mingine hakuna usumbufu wowote..
Duh
 
Back
Top Bottom