Malawi: Balozi Polepole akagua gwaride la kijeshi

Malawi: Balozi Polepole akagua gwaride la kijeshi

Katika maisha ukitaka kujifunza kuwa karibu na watu wa aina ya comrade polepole,,

Pia ukitaka ushindani, hawa watu niwakukaa nao mbali saaana.

Nilichojifunza kwa polepole nikwamba ni mtu anaeamini katika haki na ukweli bila kujali wangapi wako upande wake au wao.

Lakini pia msimamo na imani yake imeambatana na heshima kubwa saana kwa maana kwake hadharau mtu.

Lakini pia ana uwezo mkubwa sana wakuigeuza akili yake ili iendane na mazingira na akaendana vizuri na hayo mazingira.

Watu wa aina hii niwachache saana kuwashuhudia katika maisha yangu nafikiri huyu anaweza akawa wa 4 au wa5 ninaowafahamu kwa hapa kwetu Tanzania.

Watu Kama hawa mungu akiwapa neema yakuongoza watu wengine mara nyingi watu hunufaika kabisa endapo wataongoza kwa nia njema au kwa manufaa ya wengi.
Eti hadharau mtu ww utakuwa under 18 sio bure, unakumbuka alivyokuwa anamsimanga marehemu Maalim Seif?
 
Hilo ni gwaride au ukhanithi? Toka lini balozi akakagua jeshi? Hayo makampuni ya ulinzi jamii ndio mnasema jeshi? Hata kama ni jeshi kweli basi litakuwa jeshi la kipuuzi sana mpaka kukubali kukaguliwa na muhuni.
Balozi ni muwakilishi wa Rais hata anapewa Present army salute ya kijeshi na ndio anayopewa Rais, mawaziri, mabalozi,RC's qnd so on wangempigia 21 canons hapo tungeuliza maswali ila hii ya ukaguzi mbona hata wakuu wa wilaya na ni mikoa wanafunga mafunzo mbali mbali ya kijeshi hufanya Mkuu.
 
Katibu mwenezi mstaafu wa CCM ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume waliounganisha TANU na ASP.

View attachment 2263066
Yaani wewe hujui Itifaki ya Balozi akiwasilisha hati inavyokuwa, Huyo jamaa hana Nguvu yoyote ukilinganisha na Nape kwa sasa. Kwa Kuongezea Malawi ni masikini mno tunachopata huko ni house girls tu
 
Yaani wewe hujui Itifaki ya Balozi akiwasilisha hati inavyokuwa, Huyo jamaa hana Nguvu yoyote ukilinganisha na Nape kwa sasa. Kwa Kuongezea Malawi ni masikini mno tunachopata huko ni house girls tu
Rudi shule
 
Hilo ni gwaride au ukhanithi? Toka lini balozi akakagua jeshi? Hayo makampuni ya ulinzi jamii ndio mnasema jeshi? Hata kama ni jeshi kweli basi litakuwa jeshi la kipuuzi sana mpaka kukubali kukaguliwa na muhuni.
Unaandika vitu vya ajabu sana
 
Katika maisha ukitaka kujifunza kuwa karibu na watu wa aina ya comrade polepole,,

Pia ukitaka ushindani, hawa watu niwakukaa nao mbali saaana.

Nilichojifunza kwa polepole nikwamba ni mtu anaeamini katika haki na ukweli bila kujali wangapi wako upande wake au wao.

Lakini pia msimamo na imani yake imeambatana na heshima kubwa saana kwa maana kwake hadharau mtu.

Lakini pia ana uwezo mkubwa sana wakuigeuza akili yake ili iendane na mazingira na akaendana vizuri na hayo mazingira.

Watu wa aina hii niwachache saana kuwashuhudia katika maisha yangu nafikiri huyu anaweza akawa wa 4 au wa5 ninaowafahamu kwa hapa kwetu Tanzania.

Watu Kama hawa mungu akiwapa neema yakuongoza watu wengine mara nyingi watu hunufaika kabisa endapo wataongoza kwa nia njema au kwa manufaa ya wengi.
Slow slow mi moja ya watu wasio na msimamo hata kidogo. Nadhani kama ulikuwa nchini wakati wa bunge la katiba, SlowSlow wa kipindi kile na wa sasa ni vitu viwili tofauti. Natumai na wewe ni shahidi wa hili
 
Ubalozi ni cheo kikubwa, ni mwakilishi wa raisi katika taifa husika. Anakagua gwaride kwa niaba ya raisi. Ndugu Nape unaonaje hapo?
 
Katibu mwenezi mstaafu wa CCM ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume waliounganisha TANU na ASP.

View attachment 2263066
Hakuna la ajabu!
 
Katibu mwenezi mstaafu wa CCM ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume waliounganisha TANU na ASP.

View attachment 2263066

Na unaeza kuta wala hawana ugomvi
 
Katibu mwenezi mstaafu wa CCM ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume waliounganisha TANU na ASP.

View attachment 2263066
Unamjua Moses nnauye?alikuwa mpiganaji wa jwatz,alifanya Mengi kwenye jeshi na ccm,nenda kamsome ndio utajua nape nnauye yupo deep kiasi gani ndani ya system
 
Back
Top Bottom