Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,976
Amechanjwa kote kote asingechanjwa angebaki kwa mkewe.Amechanja chanjo ya uviko au hakuchanja ?? Naona barakoa hataki kabisa !! Jamaa ana msimamo usioyumba !!
Amechanjwa kote kote asingechanjwa angebaki kwa mkewe.Amechanja chanjo ya uviko au hakuchanja ?? Naona barakoa hataki kabisa !! Jamaa ana msimamo usioyumba !!
Alimwita Kiroboto !Sasa hapa Nape ameingiaje😀😀😀
Bar roseKatibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Utanyooka tuPolepole hana tofauti na bwana yule. Hawa watu tuwe nao makini sana tusije rudia kumuweka kichaa ikulu
Mwendo wa kukataa wahuni.Jamaa hayumbishwi na MTU !!
Hatuwezi kurudia kosa hilo milele.Tulikosea sana kuwapa uongozi watu kaliba la Jiwe
Ooh kumbe!!Alimwita Kiroboto !
Hivi ndiye huyu aliitwa kiroboto?Mwendo wa kukataa wahuni.
Watu wakiishiwa hoja basi wananza matusi. "baki na mavi yako nyumbani"Mimba uliyodungwa na jiwe itakutesa sana
Huzijui siasa,...Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Au siyo, mzee wa unaijua v8 weweMnyonge mnyongeni haki yake mpeni...
Polepole ni mzuri sana katika kujenga hoja makini.






Labda dunia ianze upya, haturudii makosa tena kuweka Sukuma gang madarakani.
Ushamba hautawaacha uvccm SalamaKatibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066
Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.
My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.
View attachment 2263066