Malawi: Balozi Polepole akagua gwaride la kijeshi

Malawi: Balozi Polepole akagua gwaride la kijeshi

Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.

View attachment 2263066
Bar rose
 
Kunyooka na nini tena, mbona kama nje ya mada. Mimi nasema tusije kosea tena kumweka kichaa Ikulu wewe unasema ntanyooka. Uko sawa upstairs kweli au wewe ni sukuma gang?
 
Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.

View attachment 2263066
Huzijui siasa,...
 
Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.

View attachment 2263066
Ushamba hautawaacha uvccm Salama
 
Katibu mwenezi msitaafu wa ccm ambaye kwa sasa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi, leo amekagua gwaride la heshima nchini humo kwenye mapokezi yake.

My take
Nape(Kiroboto) unajisikiaje huko ulipo maana wewe unajiona ndiyo mmiliki wa CCM kwa sasa, wakati huna undugu wowote na Nyerere wala Karume.

View attachment 2263066

Tatizo hata mambo ya kitaifa mnayachukulia kama mambo ya ccm
 
Back
Top Bottom