Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,142
Reaction score
96,171
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!
Embu fuatilia kwanza historia ya lutherani...Utaacha kupoteza muda wako mkuu.

#NoReformsNoElection
 
Yule ni TISS tena kaitengeneza makusudi hii event ya leo kumsafisha yule mama maana upepo wa wakristo kumpinga umeshika kasi...hakuna kitu yule mama kapoteza ndani ya muda mfupi kama wananchi kwa idadi kubwa kumkataa
 
Hawajazoea kuambiwa ukweli hawa maaskofu hadi wamejipa mamlaka ya yesu na shetani wakiamini kila watakalosema basi waumini wao watafuata tu, wamejisahau na kutotambua kwamba generation hii inahoji sio kizazi cha kusema amina tu kwa kila jambo japo haijafikia genzee ya Kenya though
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
ama anaumwa ama ni ishara ya nyakati.
IMG-20250605-WA0030.jpg
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Kwani lazima mtu aamini kila unachokiamini wewe?
Kila mtu ana mapokeo yake
 
Umewasaliti wenzako na umebariki utekaji, Uuaji, upotezwaji and the like!

Uliwahi kusema hujalelewa kupingana na serikali! What kind of this statement!

Anyway, Lakini una Mke na watoto lazima waende chooni hivyo lazima uwe chawa!

Walutheli mlimchaguaje huyu mtu muovu!


LEO WAMEITWA WATUMISHI WA SHETANI
Pkajichagua
Kapitishwa bila kupingwa hahahaa
 
Back
Top Bottom