BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,184
- 2,291
Nimeskitika sn Dulla na Ibra Classic kulalamikia chama Cha ngumi Tanzania eti Dulla alikuwa ameshinda.
Kibaya zaidi Ibra Classic anaongea bila aibu eti majaji wameshindwa kumbeba Dulla kwa sababu hata wao wanapoenda Ulaya huwapiga wazungu lakini majaji huwabeba wazungu wenzao.
Professionally, hii siyo kauli nzuri, yani ubebwe kisa wewe uko nyumbani kwenu wakati ngumi zinaoneshwa LIVE na ulimwengu unaona!! Au wanataka chama Cha ngumi Tanzania kifungiwe kwa kuboronga ktk maamuzi. Au wanataka mabondia kutoka nje wasije Tanzania kwa kuogopa wenyeji kubebwa.
Sasa huko Ulaya mnakosema huwa mnaonewa ni Mtanzania gani huwa anawaona mkionewa, isije kuwa ni janja janja zenu tu Wabongo maana ndo maisha yenu mlishazoea. Mara utaskia "mabegi yamepotelea airport, mara viatu nilipewa over zise" Nonsense. Na isitoshe kosa moja haliwezi kuhalalisha makosa mengine yaendelee. Km hamtaki kucheza ngumi hameni nchi muaachie wanapoenda haki wapigane.
Nimalizie tu kwa kusema Watanzania wengi wamezoea maisha ya ujanja ujanja sana, ku fake maisha na undugu-naization ndo maan nchi haisongi mbele. Ebu Dulla na kampani yake waache maisha ya ujanja ujanja waende kwenye uhalisia. Mchezo wa ngumi ni mchezo wa wazi kila mtu anaona.
NB: Naomba chama Cha ngumi Tanzania kimfungie Dulla na Ibra Classic au wapewe adhabu kali kwa kutoa shutuma kali dhidi yenu mbele ya kadamnasi tena mbele ya kamera za AZAM TV ili liwe fundisho kwa wale wasiojua mchezo wa ngumi ila wanalazimisha kujua ngumi kwa sababu ya njaa.
BANDOKITITA nimemaliza.
Kibaya zaidi Ibra Classic anaongea bila aibu eti majaji wameshindwa kumbeba Dulla kwa sababu hata wao wanapoenda Ulaya huwapiga wazungu lakini majaji huwabeba wazungu wenzao.
Professionally, hii siyo kauli nzuri, yani ubebwe kisa wewe uko nyumbani kwenu wakati ngumi zinaoneshwa LIVE na ulimwengu unaona!! Au wanataka chama Cha ngumi Tanzania kifungiwe kwa kuboronga ktk maamuzi. Au wanataka mabondia kutoka nje wasije Tanzania kwa kuogopa wenyeji kubebwa.
Sasa huko Ulaya mnakosema huwa mnaonewa ni Mtanzania gani huwa anawaona mkionewa, isije kuwa ni janja janja zenu tu Wabongo maana ndo maisha yenu mlishazoea. Mara utaskia "mabegi yamepotelea airport, mara viatu nilipewa over zise" Nonsense. Na isitoshe kosa moja haliwezi kuhalalisha makosa mengine yaendelee. Km hamtaki kucheza ngumi hameni nchi muaachie wanapoenda haki wapigane.
Nimalizie tu kwa kusema Watanzania wengi wamezoea maisha ya ujanja ujanja sana, ku fake maisha na undugu-naization ndo maan nchi haisongi mbele. Ebu Dulla na kampani yake waache maisha ya ujanja ujanja waende kwenye uhalisia. Mchezo wa ngumi ni mchezo wa wazi kila mtu anaona.
NB: Naomba chama Cha ngumi Tanzania kimfungie Dulla na Ibra Classic au wapewe adhabu kali kwa kutoa shutuma kali dhidi yenu mbele ya kadamnasi tena mbele ya kamera za AZAM TV ili liwe fundisho kwa wale wasiojua mchezo wa ngumi ila wanalazimisha kujua ngumi kwa sababu ya njaa.
BANDOKITITA nimemaliza.