sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Salaam,
tumesuruhishaaaaaaaaaa wee , la kuvunda halina ubani. mwanamke mwisho wa yote ili kuhalalisha utashi wake wa kuachika anadai MUME HUYU HAJUI KUNANIHIIIIIIIIII , hapo wana watoto 3. miaka ya ndoa 7. Tukaishiwa maneno wengine tukajirudia majumbani mwetu huku maswali vichwani yakikosa, majibu miaka saba ya ndoa mmezaaje watoto huku mwenzako hajui kunanihiiiiiiiiiii............?
tumesuruhishaaaaaaaaaa wee , la kuvunda halina ubani. mwanamke mwisho wa yote ili kuhalalisha utashi wake wa kuachika anadai MUME HUYU HAJUI KUNANIHIIIIIIIIII , hapo wana watoto 3. miaka ya ndoa 7. Tukaishiwa maneno wengine tukajirudia majumbani mwetu huku maswali vichwani yakikosa, majibu miaka saba ya ndoa mmezaaje watoto huku mwenzako hajui kunanihiiiiiiiiiii............?