Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Hili si gazeti la Seif Khatib. Lina kasoro nyingi sana pamoja na wanaolisoma.
Hivi na kujadili makundi ndani ya ccm pia ni maendeleo, mbona mnakuwa wakali members wakiamua kujadili mvurugano wenu?Kuna makundi Chadema so what ?Sisi hapa JF si hao Chadema hili ni jamvi la kuanika ujinga kujadili maendeleo na kuelemishana .
Haya jmushi,dallai lama,nanyaro na wengine wote, hebu tuambieni na nyie mko kundi gani? Molemo yeye anajulikana yuko upande wenye posho kubwa,kwa DJ.
polisi kwa maelekezo ya ccm wamemuua mwandishi Daud Mwangosi full stop
Mtu asiye na adabu utamjua tu.Msalimie Tuntemeke.
Mkuu si haya ndiyo magazeti ya SSM na kina Rz1 na waislam eti wanataka kuharibu CDM? Wanapoteza muda, linaingia sikio moja linatokea lingine!!! Nguvu ya wananchi sasa, saa ya ukombozi ni sasa!!
huwa hawakubali kuambiwa ukweli