msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,142
Lile jinamizi la migomo vyuo vikuu limetua kwa kasi ya ajabu pale Makumira university. Ni pale wanachuo wa mwaka wa kwanza walipozira kuzama class kutokana na ugumu wa maisha wanaokumbana nao uliosababishwa na kutokupewa hela na bodi ya mkopo.
Wadau nauliza hivi kweli kila kitu cku hizi kinakwenda kimigomo? Serikali yetu iko wapi iliyounda bodi ya mikopo inayoshindwa kutekeleza majukumu yake ipaswavyo? Wanachuo pale wanashindia maji na maembe ili wanatakiwa pia kuhudhuria lecture dararan kama kawaida..
Kweli elimu na njaa vanaenda pamoja? Mwenzao jana kazimia kwa mshtuko alioupata baada ya kudhibitisha kuwa jina lake halipo kwenye batch ya mwisho ya majina, amelazwa pale selian hospital na wenzake wako katika harakati za kuchanga hela kwa ajili ya kumpatia matibabu.
God help then
Wadau nauliza hivi kweli kila kitu cku hizi kinakwenda kimigomo? Serikali yetu iko wapi iliyounda bodi ya mikopo inayoshindwa kutekeleza majukumu yake ipaswavyo? Wanachuo pale wanashindia maji na maembe ili wanatakiwa pia kuhudhuria lecture dararan kama kawaida..
Kweli elimu na njaa vanaenda pamoja? Mwenzao jana kazimia kwa mshtuko alioupata baada ya kudhibitisha kuwa jina lake halipo kwenye batch ya mwisho ya majina, amelazwa pale selian hospital na wenzake wako katika harakati za kuchanga hela kwa ajili ya kumpatia matibabu.
God help then