saleh sule
Member
- Dec 25, 2011
- 47
- 8
Jamaa alipiga sim makumbusho mazungumz yalikua hv-JAMAA hapo ndio makumbusho ya taifa?MAKUMBUSHO ndio nini tukusaidie?JAMAA naomb mnikumbushe saa mwaka juz ilipotelea wap?MAKUMBUSHO pumbav !!! Hapa tunahifadh vit vya zaman JAMAA Poa basi kumbe saa yangu mnayo ntapitia !!!.