Baada ya uteuzi wa Muhongo ambao kama kawaida ulisifiwa na kupongezwa na baadhi yetu hapa JF niuliza kama mtu mwenye sifa zote hizo alizokuwa anasifiwa anaweza kukubali uteuzi wa uwaziri ktk wizara yenye mikono michafu ya maboss wake. Leo wote wamepotea hapa jukwaani. Muhongo ni jambazi na ana laana ya mkewe wa kwanza aliye muua. Leo Mungu amemlipizia huyo mama!