Makubwa kama haya: Rais au Ikulu kutokujua ni mzaha mwingine katika kupigania Uwajibikaji

Wanaoujua ufisadi wa IPTL katika ukubwa, mapana na urefu wake wanatambua kuwa kushughulika na Escrow Account pekee (kisha kujiaminisha tumeshughulikia IPTL katika ujumla wake) ni mzaha unaoweza kuvumiliwa kwa minajili ya kuacha muda au wakati uwe hakimu mzuri. Lakini kwa wale wanaoujua undani wa IPTL namna mkataba wa kilaghai na kifisadi ulivyosainiwa tangu miaka ile ya 90 wakati nchi ilipoingia katika shida kubwa ya umeme, huku wahusika wakituingiza katika uvundo mkubwa ambao umezalisha matawi mengi, mojawapo likiwa ni hili la Escrow Account (cha mtoto?), watakuwa na maswali mengi hasa baada ya kuwasilishwa kwa Ripoti ya PAC. Mojawapo ya maswali hayo ni je; Kweli kwa ufisadi mkubwa kama huu, ukiwa ni sehemu ya matokeo ya moja ya mikataba mibovu katika sekta ya nishati, kwamba mabilioni ya fedha yaliyochotwa sehemu nyeti kama benki kuu, yakagawiwa kwa kiwango kile, kiasi ambacho mtu anaweza kujenga hoja na kuhitimisha kuwa kulikuwa na elements za state capture or rather an institutionalized corruption, kwamba ofisi kuu ya nchi na mwenye ofisi ambaye kimamlaka ni Rais Mtendaji alikuwa hajui yote haya? Kwamba aliyekuwa anajua ni Waziri Mkuu pekee! It is a question which remained to be answered! Time will tell, alisema Bob.

rais akiwajibika it minz nchi inaingia kwenye uchaguz.....
bunge ktk jambo hilo naona linasura mbili au tatu kwa upandewangu
1. wabunge wanaogopa wanaweza waschaguliwe tena hivyo kupata aibu na kukosa zile posho na feva kabla ya wakt wao muafaka wa kustaafu/kuachia ngaz
2. nchi itaingia gharama ktk uchaguzi hivyo fedha kutotumika kwenye shughuli za maendeleo
3. chama tawala hakitakubali coz wapowengi bungeni....
 
Nukuu iliyonukuliwa kutoka kwa baba wa Taifa kwenye report ya PAC ina maana kubwa sana,ila ndio hivyo nchi itayumba.
 
anaju kila kitu RAIS jeuri yote hiyo waliyokuwa nayo watendaji waliitoa wapi?
 
Nashauri KATIBA PENDEKEZWA iliyosimamiwa na Mtemi Chenge ichanwe hadharani uwanja wa Taifa maana kunauwezekano mgao wake ulitumiwa kununua wajumbe!

Ndiyo maana nasema Prof wa Kichina alikuwa anajua kinachoendelea na akawa tayari kwa nguvu zote kuitetea Katiba ya Mafisadi.
 
Kamati imesema kabisa kumuondoa Rais ni kazi kubwa lakini walivyosema kwa yeyote mwenye akili najua Rais alikuwa anajua haya yote
 
Siyo lazima Rais ajue, ukiangalia hata pm mwenyewe siyo lazima ajue

Injinia mkuu wa yote haya, tokea '95, ni nani unafikiri? Watu wanajua isipokuwa wanaogopa kuongea au kusema, kaa na wakubwa ujue mambo yanavyokwenda mkuu ...:argue:
 
Ni Aibu sana serikali yake imeangushwa na bunge mara ya tatu sasa.. yeye anasubirui nini kujipima? Hivi anajiona yuko sawa au ni kihiyo wa aina yake...? Yaana ameweka historia Tanzania kwamba ndani ya miaka tisa, serikali yake anayoiongozo imepigwa mweleka na wabunge mara tatu sasa... (maana yake hii ni kutokuwa na imani na yeye mwenyewe) Kuondoa aibu , yafaa sasa na yeye ajipime, ajitafakari na achujue maamuzi sahihi ya kurudisha utawala wa nchi kwa wananchi kwa njia ya kujiudhuru na kuitisha uchaguzi mwingine ili tumtafute anayetufaa...

Aibu zake na kucheka cheka ndo maana yoote haya yanatokea under his watch bila mwenyewe kufanya maamuzi magumu mpaka alazimishwe na bunge... aibu sana... na sijui anajisikiaje kamati za bunge zinapopendekeza wateule wake wawajibishwe na kufikishwa mahakamani? Si aje basi na ahutubue bunge na kutoa ya moyoni ili tujue ni kwa nini yuko legelege namna hiyi na wateule wake wanamzunguka zunguka tu..

mimi kama raia wa kawaida na mpiga kura namtaka sasa aachie ngazi maana kashindwa , awapishwe wengine watao wajibika bila kusurutishwa na bunge.. haoni waliomtangulia walivyotuongoza , ingawaje walikuwa na mapungufu yao lakini serikali zao hazikuondoka kwa kasha za kifisadi namna hii...
 
Kwani kaka kuna hata moja ambalo mkulu halijui kuanzia richmond epa escrow vyote anajua ila ndio funika kombe mwanaharamu apite

Mbona kamati ya zito imemtaja moja kwa moja, msikilize kaimu mwenyekiti vizuri wakati anamuongelea waziri mkuu, na utamuelewa tu
 
Mie nachojua makasisi ndiyo wamevuta pesa chezea Askofu Kilaini.

Sasa nyie waislam mnaipigia debe CCM Huwa mnafanywa mazuzu huku kanisa katoliki pamoja na kuwatukana kwote wanapata mgao kiaina kupitia maaskofu. Maama sijaona shehe hata mmoja kwenye mgao wao ni kutangulizwa kuitetea Ccm tu kwa kula wanakula maaskofu. Wajinga ndo waliwao daadeki
 
Huna hoja wewe hoja iliyopo sasa ni TUMBIRI KAGEUKA BINADAMU NA BINADAMU(WEREMA) KAGEUKA TUMBIRI
[/QUOT]

Chadema hata mseme nini , mmepigwa bao na Zitto amezidi kudhhirisha bila yeye WENGINE mazuzu tu kule


Wewe umemuona zito tu hujamuona filikunjombe wala kafulila hapo eti? Maaskofu wa katoloki wamepiga mpunga wapiga domo wa CCM/UISLAM huku mtakula kuona.
 
Sasa nyie waislam mnaipigia debe CCM Huwa mnafanywa mazuzu huku kanisa katoliki pamoja na kuwatukana kwote wanapata mgao kiaina kupitia maaskofu. Maama sijaona shehe hata mmoja kwenye mgao wao ni kutangulizwa kuitetea Ccm tu kwa kula wanakula maaskofu. Wajinga ndo waliwao daadeki
Wakirsto wataimaliza hii nchi kwa ufisadi.
 
Zitto kaishamaliaza kila kitu viongozi wako walikuwa wapi kupambana na hii issue.

ilikuwa ni teamwork. issue iliibuliwa na the Citizen na Kafulila akailipua bungeni huku wabunge wazalendo wakisaidia mashambulizi na huku wengine wakipiga jaramba. Zitto amemalizia kazi (amefunga goli) by virtue of his role kwenye PAC. period!

kuongea mambo ya jikoni hakuna nafasi hapa. kilichoki ni kupiga kichwa (president)tu!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom