Mkuu naomba tafsiri ya maneno yakoNo Fit For Kiundu
Kwani shida hapo nini!!
Kesho ni kikao cha kamati kuu kujadili hili swala la RC.ila mambo yanaonekana sio shwari ndani ya ACT maana Zito amesafiri leo means kikao cha kesho hatakuwepo badala yake anakaimu MwigambaIna maana ACT kama chama hawakuliongelea hilo suala la uteuzi wake na kufikia makubaliano?
Mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, amesema yeye bado ni mwenyekiti wa ACT-Wazalendo na ataendelea kushika wadhfa huo kama kawaida. Mghwira aliyeapishwa Jumanne kuanza kazi, ametoa maelezo hayo katika mahojiano mahsusi na mwandishi Jamal Hashim wa Azam TV. Fuatilia taarifa ya habari ya Azam TV leo saa mbili usiku, ili kupata undani zaidi.
Mavi ya kuku ya rangi mbili.Inamaana Kimwili anaitumikia Ccm ila kiroho yupo ACTWazalendo!? Kama in hivyo basi hongera
Nasikilizia tu huo mkutano wa kesho kama mwenyekiti atahudhuria, maana agenda inamuhusu yeyeKwa hiyo mkutano wa Act wazalendo kesho atahudhuria? Kuna nafasi za utumishi wa umma ukiteuliwa unatakiwa kujiuzulu vyeo vya kichama
Kwani shida hapo nini!!
Hapa hakuna kitu ni bora uhame chama mama.hii inaonyesha ACT ni CCM BAkihojiwa na Hashim wa Azam Tv, Mh. Anna Mgwilah amehoji kuwa kwenda kufanya kazi za serikali siyo kigezo cha kutokitumikia chama cha ACT. Akasema Mbona Lipumba alikwenda nje ya nchi na akaendelea kuwa mwenyekiti wa CUF, sembuse hapa Kilimanjaro.
She is quite shallow! analinganisha kwenda kwa Museveni na kwenda Kilimanjaro. CUF hakikuwa chama cha upinzani dhidi ya Museveni, lakini ACT ni wapinzani wa Magufuli katika siasa za TZ. Anakwenda kutekeleza sera za kufungia wapinzani, kuwasweka mahabusu, kuzuia mikutano, kuwapiga mabomu etc!
Leave aside for a moment bavicha logo, are these the answerS one would expect from a learned Regional Commissioner, one who was expected to be a president!Bavicha kazi mnayo mwaka huu
Ina maana kufanya consultation nje ya nchi kwa Lipumba ni sawa na kushika madaraka ndani ya nchi kwenye chama kingine? Angekaa kimya, atasababisha watu waanze kuhoji uwezo wake wa kuchambua mambo... "Mbona Lipumba alikwenda nje ya nchi na akaendelea kuwa mwenyekiti wa CUF, sembuse hapa Kilimanjaro."