Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,217
- 2,354
Bila kujali kuwa lilikuwa ni sharti la Kikatiba au la (Sababu yalikuwa ni makubaliano ya muda si ya kudumu ndiyo maana yalipingwa na vyama vingine vya upinzani sababu havikushirikishwa) Muhimu kujua ni Maalim alikuwa anatekeleza kazi zake kwa mujibu wa ilani gani ya Uchaguzi? Chama chake au chama kilichoshinda uchaguzi? Sikuwahi kusikia CUF na CCM visiwani wamekaa kuhuisha Ilani ya pamojaSeif ilikuwa sharti la kikatiba na ni wananchi waliotaka serikali ya umoja wa kitaifa sio CUF wala CCM!!! na ilikuwa kwa misingi ya kutafuta suluhu zenji kma ambavyo chadema ilikubali kuunda halmashauri na ccm pale arusha mjini mwaka 2014 ila huyu mama ni lini magufuli alikubali kuleta suluhu na wapinzani hasa wanapodai haki ya mikutano ili wajenge chama??? Ni lini magufuli kakubali rasimu ya warioba irudi??? Mama kasaliti umma wa wapinzani waliotoka naye povu kupinga udikteta