Makubaliano ya Zanzibar ni mkakati wa kuidumaza ACT Wazalendo isitanuke Tanzania Bara

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Zitto kanyang’anywa chama angali anakiona sasa maamuzi yote lazima yatoke Vuga sio Kijitonyama, badala ya Seif kuwa ceremonial chairman Zitto ndio amekuwa celemonial Party Leader.

Wazanzibari hawana interest nyingine zaidi ya nchi yao, yote wanayofanya leo yakiwemo maridhiano ni kwa maslahi yao siyo ya wananchi wa Mwandiga Kigoma.

Siku zijazo itakuwa vigumu sana kwa ACT kujitanua hasa huku bara, kama Zitto alidhani kumkaribisha Maalimu Seif ni kukijenga chama bara basi alikosea sana.

Ndugu Zitto na viongozi wa ACT mtawaaminisha vipi wananchi kuwa serikali imeshindwa kuleta maendeleo wakati nyie ni sehemu ya serikali?

Pamoja na kuwa kila chama kina malengo yake, lkn ki mikakati Zitto umebugi step pakubwa hukuagalia mbali, kuna siku utafukuzwa kama Lipumba.
 
Wacha longolongo wewe tatizo kwa CHADEMA siasa zenu ni za kiharakati.

Mwenzenu ZITTO anafanya siasa lakini akiwa anaangalia maslahi mapana kama chama cha siasa.

Kwa sasa RUZUKU iko juu na tofauti na nyinyi yeye atakuwa na mtaji mkubwa wa kisiasa hapo 2025.
 
Vyama vyote ni utopolo.

Let's talk about the common man's challenges and unite with anyone who's on our side.
 
Kama lengo ni nchi ndio malengo mazuri sio yale ya kuweka maslahi ya mtu mmoja kuwaambia waandamane yeye kalala kitanda cha ubalozini akipigwa na kiyoyozi!
 
Back
Top Bottom