fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,609
- 7,169
Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni