Makubaliano ya wanandoa kuchepuka

Makubaliano ya wanandoa kuchepuka

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
5,609
Reaction score
7,169
Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
 
Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
Kama boro halifanyi kazi kwanini uoe? Unless tatizo limekukuta ukiwa kwenye ndoa.
 
Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
Yapo sana japo najua mmoja anaumia sana maana huzaa kabisa na yeye hulea kuficha Siri ya mapungufu yake
 
Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
Nawaza hii sheria ikija Tanzania naona kila mwanandoa atajifanya hana nguvu...
 
Baadhi ya wanandoa hukubaliana mmoja wao achepuke.Kwa mfano mume mwenye dosari kwamba jogoo hawiki huongea na mkewe,akachepuke na mke hufanya hivyo,huku akimuarifu mumewe kila stage.Halikadhalika mke mwenye doasari humruhusu mmewe kuchepuka,na mara nyingi mke hutafuta mwanamke kwa ajili ya mumewe.
Hii dunia ukiona mambo ni bora kunyamaza tu kama vile huyaoni
stori za vijiweni zinafurahisha saana!!!👿
 
Back
Top Bottom