Mbona hii tabia ipo sana tu hasa kwa wazungu. Hata kwenye biblia Sara alimruhusu Ibrahim azae na mfanyakazi.stori za vijiweni zinafurahisha saana!!!👿
Sasa hapo ndoa ya nn Tena? atakuwa mkeo au dada yako?Hivi hujui kuwa dosari inaweza kukuta upo kwenye ndoa na bado wewe na mkeo ni vijana,je utavinja hio ndoa?
Nakuhakikishia pia kuna wanaume wanaruhusu wake zao, nimeliona hili kwa macho yangu.Baadhi ya wanawake huruhusu ila sio wanaume
Wanaume wenye kisukari wengi wanaruhusu,SEMA WANAWAKE wanakosaga siri tu mwishowe yanajisahauBaadhi ya wanawake huruhusu ila sio wanaume
heshimu maoni ya wenzio hata kama hukubaliani naeHizi takataka kwa nini mods mnaruhusu zipostiwe humu?