Naanza kwa kutanguliza interest zangu kuwa naipenda Tanzania na Samia nakutakia umalize Urais wako salama 2030 utuachie nchi ikiwa salama.
1 . Baraza lako la mawaziri kuna watu umewaacha ambao walikuwa watendaji wazuri sana , hii nchi yetu inahitaji viongozi wakali na katili tu . Mfano wizara ya ardhi ni wizara nyeti yenye malalamiko mengi mno, na ni wizara yenye rushwa mno, waziria anayehitajika hapo anatakiwa mtu mkali sana mfano Lukuvi au Jerry slaa au biteko
2. Kuna wizara kama ya kilomo umemtoa Bashe alikuwa ameshaonyesha nia ya kuibadilisha sana wizara hiyo na kujua kusolve matatizo haswa ya wakulima , kuanzia kuimarisha uzalishaji wa mbegu, kununua nafaka na kuhifadhi yaani kuiboresha NFRA, kusisitiza miradi ya umwagiliaji nk lakini kumtoa inamfanya waziri Chongolo kuanza na mambo yake tena na sioni kama speed kama ya mtangulizi wake , Chongolo anafaaa sana wizara kama ya ulinzi , wizara ziisizo na makeke wala mbio mbio
3. Doto biteko imewahuzunisha sana watanzania kumtosa hata kama issue ni uraia sidhani kama ninfactor nyeti kwa sababu kwa level ya uwaziri hawezi kuwa na siri nyingi sana za nchi na kuna tiss ifanye kazi yake ya kumfuatilia , Huyu alikuwa mtendaji mzuri sana na ana nidhamu angebaki wizara ile ile
4. Waziri wa mambo ya nje ni mzigo tu kwa serikali mtoe mweke kabudi kupunguza gharama na kuongeza ufanisi
Mwisho wizara ya mali asili na utalii tunahitaji waziri mwenye ubunifu na anayejua uhamasishaji wa kimataifa hapa nashauri utulie sana hata ukimtoa kwenye sector binafsi mteue ubunge na umpe uwaziri,
hapa angaliia mtu aliyefanya vizuri sana kwenye marketing and branding campaign kwenye makampuni makubwa au nje ya nchi, au mpe balozi Kairuki alipokuwa china niliona kazi yake alifanya kazi kubwa sana ya jutangaza fursa za china kwa wafanyabiashara wetu, wengi tulipata huduma zake bila ukiritimba wala rushwa
Tunaipenda mama Tanzania
1 . Baraza lako la mawaziri kuna watu umewaacha ambao walikuwa watendaji wazuri sana , hii nchi yetu inahitaji viongozi wakali na katili tu . Mfano wizara ya ardhi ni wizara nyeti yenye malalamiko mengi mno, na ni wizara yenye rushwa mno, waziria anayehitajika hapo anatakiwa mtu mkali sana mfano Lukuvi au Jerry slaa au biteko
2. Kuna wizara kama ya kilomo umemtoa Bashe alikuwa ameshaonyesha nia ya kuibadilisha sana wizara hiyo na kujua kusolve matatizo haswa ya wakulima , kuanzia kuimarisha uzalishaji wa mbegu, kununua nafaka na kuhifadhi yaani kuiboresha NFRA, kusisitiza miradi ya umwagiliaji nk lakini kumtoa inamfanya waziri Chongolo kuanza na mambo yake tena na sioni kama speed kama ya mtangulizi wake , Chongolo anafaaa sana wizara kama ya ulinzi , wizara ziisizo na makeke wala mbio mbio
3. Doto biteko imewahuzunisha sana watanzania kumtosa hata kama issue ni uraia sidhani kama ninfactor nyeti kwa sababu kwa level ya uwaziri hawezi kuwa na siri nyingi sana za nchi na kuna tiss ifanye kazi yake ya kumfuatilia , Huyu alikuwa mtendaji mzuri sana na ana nidhamu angebaki wizara ile ile
4. Waziri wa mambo ya nje ni mzigo tu kwa serikali mtoe mweke kabudi kupunguza gharama na kuongeza ufanisi
Mwisho wizara ya mali asili na utalii tunahitaji waziri mwenye ubunifu na anayejua uhamasishaji wa kimataifa hapa nashauri utulie sana hata ukimtoa kwenye sector binafsi mteue ubunge na umpe uwaziri,
hapa angaliia mtu aliyefanya vizuri sana kwenye marketing and branding campaign kwenye makampuni makubwa au nje ya nchi, au mpe balozi Kairuki alipokuwa china niliona kazi yake alifanya kazi kubwa sana ya jutangaza fursa za china kwa wafanyabiashara wetu, wengi tulipata huduma zake bila ukiritimba wala rushwa
Tunaipenda mama Tanzania