Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
AsantePole Sana mkuu
AsantePole Sana mkuu
Bila kumung'unya maneno CCM wamelipeleka taifa kubaya, Taifa la watekaji na wapotezaji watu kwasasa watekaji wana baka na kulawiti wanao wateka, uongozi wa kujizima data tuseme kuahirisha kufikiri kizalendoTuache ya Madhara ya bahat Mbaya,
Haya maneno /vitendo vya makusudi ambavyo tunajua matokeo yake yanaweza leta Madhara ndio haswa tunatakiwa kuyapunguza au kuyaacha.
Mungu atusaidie.
noma sana ,nipo hapa nashangaa account yangu imekomenti nyuzi mbalimbali dakika kama 40 zilizopita ila cha kushangaza mimi hata sijaingia humu zaidi ya sasa🤔Nimejikuta nimeamka tu na kuwaza hilo.
Pengine kwasababu niko Sober.😂😂😂😂
(Bro min -me , alosto mbaya sana)
Anyway
Nasema na ww ambaye umepanga Leo kwenda kuzini na mume wa mtu, au mke wa mtu, na ww ambaye umepanga Leo ukaibe au ukadhuru watu kwa maneno au matendo yako Na kufitini rafiki na ndugu yako.
Nasema na ww ambaye umepanga leo ukaloge, ukashuhudie uwongo na ww ambaye unaenda Kulipiza Kisasi
Mungu akupe ujasiri uachane na hiyo roho ya Ubaya ubwela.
Nimekusamehe... ila fanya tu...Huu uzi umeniumiza maana kuna jambo najua sio sahihi na ni kosa mbele ya Mungu na sheria lakini inabidi nifanye tu maana sina namna..
Mungu naomba unisamehe after this😔😔
lisemeHuu uzi umeniumiza maana kuna jambo najua sio sahihi na ni kosa mbele ya Mungu na sheria lakini inabidi nifanye tu maana sina namna..
Mungu naomba unisamehe after this😔😔
Ukiona unajiskia hatia ndani Yako ujue kuna njia sahihi ulipaswa kuitumia kabla ya maamuzi hayo Sasa hiyo njia inakulaumu Kwa Nini hukunitumiaHuu uzi umeniumiza maana kuna jambo najua sio sahihi na ni kosa mbele ya Mungu na sheria lakini inabidi nifanye tu maana sina namna..
Mungu naomba unisamehe after this😔😔
uko sahihi hakuna anaechagua mtu kitu kibaya wakat anaona n kibaya ila hutokea tu coz binadam anabadilika ghafla hao wanaouana kwenye ndoa angejua mwenzake kuna siku atamuua kwani angemkubaliaHivi ni kweli huwa tunachagua exactly au hutokea tu kama Bahati nzuri unapata mwema au Bahati mbaya unapata kipengele!?
Binafsi naona mwenza hutokea
🙂🙂🙂🙂🙂🙂 ilo n la kujitakia hakuna wa kumlaum hapoKosa lingine tunaenda kufanya kama taifa ni October mwaka huu
Hapana nina mda sijanywa ujue😅We itakuwa ulikuwa high tu hakuna jengine 😀😀😀
Bro 😂😂😂😂 unasema ?Hapana nina mda sijanywa ujue😅
Hahahaha nazuga tu bwashee 🤣🤣Bro 😂😂😂😂 unasema ?
Jana ukatoa na Location kabisa .
Hapa hadharani ili nifungwe au sio😂😂😂liseme
Hiyo njia halali ndio siioni sasa,. i did to my level bestUkiona unajiskia hatia ndani Yako ujue kuna njia sahihi ulipaswa kuitumia kabla ya maamuzi hayo Sasa hiyo njia inakulaumu Kwa Nini hukunitumia
AsanteNimekusamehe... ila fanya tu...
ni kosa la jinai?Hapa hadharani ili nifungwe au sio😂😂😂
Hapo ashaweka bet yake ya buku anasubiri Amle mhindi mill 20 😂😂😂Hahahaha nazuga tu bwashee 🤣🤣View attachment 3351645