issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 2,963
- 4,836
mkuu kama ulishawahi fungua ads account ukaona kilichomo nadhani utaelewa. account yangu inazaid ya USD 25mil, siku ya kwanza kuifungua niliweweseka nikidhani in real money nilivyogoogle nikaambiwa hizo pesa zinasurpot kwenye matangazo tu na huwezi zitoaPesa za namba namba ya USD ndio zipi hizo? Kwani hiyo USD sio pesa halali?
Sijakuelewa hapo