Testar
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,461
- 12,216
- Thread starter
- #141
Kama shetani anatumika kukamilisha mipango ya Mungu, je tutakuwa sahihi kusema shetani ni mtumishi wa Mungu???CHAMITON,
Maswali mazuri sana.
Tujadili swali kwa swali.
La kwanza:
Job 47:16, Psalm 239:2-4, 147:5, Proverbs 5:21, Isaiah 46:9-10, 1 John 3:19-20, etc zina support kuwa Mungu anajua KILA KITU; kilichokuwa, kilichopo and kitakachokuwa. So ni kweli kabisa, ALIJUA kuwa njemba itaasi and kuleta sheeda kwetu duniani. I agree.
Kwa nini alimuumba despite kujua hili?
Jibu lake:
Ili mpango wake juu ya binadamu utimie.
Ila unazaa swali lingine hapo: Mpango wake juu ya binadamu ni nini? Bila kujua hili sidhani kama utaweza elewa why He did what he did, create the devil.
So probably ili kupata jibu kamilifu la swali la kwanza inabidi kujiuliza mpango WA Mungu ni nini? Angalizo: Sidhani Kama tunaweza jibu kikamilifu hapa maana akili zetu na zake ni kama ... (Isaiah 55:8-9)