ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 3,536
- 5,138
Kwani post zako ni kitabu..!?Wewe unaweza kunipinga bila kujadili post zangu?
Mbona umeninukuu?
Unaji contradict kwa kunikataza kuongelea contradictions zilizo kwenye kitabu kisicho changu, wakati huo huo unanionesha makosa yangu yaliyo katika posts zangu.
Mimi nafahamu Quran ndio kitabu_na ndio nakuepusha nayo kwa kuwa huijui
Kama post zishakua kitabu mbona na wewe unanukuu vitabu vyangu.!
Unanisingizia tu wapi nimeweka sheria au kizuizi zaidi ya kukuepushaUnajicontradict mwenyewe.
Unaweka sheria nisiangalie makosa kwenye vitabu visivyo vyangu, halafu wewe unaangalia makosa kwenye posts zisizo zako.
Hizi sifa zote zinakuhusu kwa kuwa umekaririHuelewi unakwenda au unarudi.
Hujui juu wapi na chini wapi, kulia wapi na kushoto wapi.
Wewe unayependa wema tupu bila ubaya
Utawezaje kujua juu bila chini..!?
Kajifunze Quran kwanza ndio uwe mjeuri vizuri acha kuiga_kwanza msahaulifu [emoji3][emoji16][emoji16]Hujui hata kufikiri, seuze kujibizana!