Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

nasikia Marehemu Kingunge dakika za mwishoalipata skramenti ya kitubio ikiwa ni pamoja na kuishika biblia na kuitwa tena jina lake la ubatizo.
Alinikwaza sana ndio maana hata huyu mleta mada siku akianza kulishwa kwa mpira na kupumua kwa mashine utamsikia eee, Mungu wangu...
 
nasikia Marehemu Kingunge dakika za mwishoalipata skramenti ya kitubio ikiwa ni pamoja na kuishika biblia na kuitwa tena jina lake la ubatizo.
Alinikwaza sana ndio maana hata huyu mleta mada siku akianza kulishwa kwa mpira na kupumua kwa mashine utamsikia eee, Mungu wangu...
Kaka hawa watu misingi yao ni kuwa WAONGO yaani wao uongo ni msingi w elimu.

Mola wetu ana huruma kamilifu na muadilifu,ametupa hali ya kumjua yeye na kumtafuta kupitia nafsi zetu,ndio maana hata katika majanga na matatizo nafsi huanza kitafuta msaada toka kwake.

Arejee hostoria ya Firauni,au awaulize manusura wa ajali mbali mbali nafano wake.

Tatizo hawa wapo kama wanasesere yaani.
 
Kaka hawa watu misingi yao ni kuwa WAONGO yaani wao uongo ni msingi w elimu.

Mola wetu ana huruma kamilifu na muadilifu,ametupa hali ya kumjua yeye na kumtafuta kupitia nafsi zetu,ndio maana hata katika majanga na matatizo nafsi huanza kitafuta msaada toka kwake.

Arejee hostoria ya Firauni,au awaulize manusura wa ajali mbali mbali nafano wake.

Tatizo hawa wapo kama wanasesere yaani.
Unasema mola ana huruma.

Lakini hujaweza kujibu swali dogo tu.

Hujajibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
 
Swali lingine nitakuuliza ukijibu hili.

Hujajibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
Nacheka sana,nilishakujibu ya kuwa swali hili silijibu kwa sababu ya wewe kuikosea elimu adabu.

Unakumbuka jana ulishindwa kuleta hitimisho la kimantiki juu ya shahada ? Leo siko huko ila nakuonyesha tu ya kuwa huna uwezo wa kujibu maswali yangu hata kwa bahati mbaya.

Nakukumbusha tu "SIDHANI KAMA USHAWAHI KUJIBU SWALI LANGU LOLOTE"


Swali hilo ulitakiwa uniulize au uulize pindi tu pale ulipoiona hiyo aya katika surat al Baqara. Hivyo ndio wasomi waliofunzwa adabu za kielimu hufanya. Sasa wewe sababu umezoea mitindo ya vijiweni unakurupuka tu KURUPU.
 
Nacheka sana,nilishakujibu ya kuwa swali hili silijibu kwa sababu ya wewe kuikosea elimu adabu.

Unakumbuka jana ulishindwa kuleta hitimisho la kimantiki juu ya shahada ? Leo siko huko ila nakuonyesha tu ya kuwa huna uwezo wa kujibu maswali yangu hata kwa bahati mbaya.

Nakukumbusha tu "SIDHANI KAMA USHAWAHI KUJIBU SWALI LANGU LOLOTE"


Swali hilo ulitakiwa uniulize au uulize pindi tu pale ulipoiona hiyo aya katika surat al Baqara. Hivyo ndio wasomi waliofunzwa adabu za kielimu hufanya. Sasa wewe sababu umezoea mitindo ya vijiweni unakurupuka tu KURUPU.

Hujajibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
 
Unasema mola ana huruma.

Lakini hujaweza kujibu swali dogo tu.

Hujajibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
Naona unataka hili swali liwe mada sio ? Endelea kuliuliza bro.

Halafu sijasema sijui hilo swali,ila nimekujibu hilo swali kwa mfano wake.
 
Hujajibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
Ungelijua hili tangu mwanzo nilikuwa sina sababi ya kutokukujibu.

Sasa wewe si mjuaji kaka mkubwa ? Ila ujue kwamba ukweli wa mambo uko hivyo.

Yaani mtu hujui kusoma hata Qur'an unataka kuikosoa Qur'an,daah laiti ungepewa misingi ya elimu,ungefika mbali sana kihojaji na maarifa pia.

Mimi sikufichi mathalani siwezi kuikosoa Biblia sababu siijui kabisa huwa naisikia sikia tu,na nina amini wapo watu wanaoijua basi nawaachia wao wenye kuijua.

Nasubiri swali lingine kaka mkubwa.
 
Nacheka sana bro. Bro haliwezi hilo swali,naona ananiuliza mimi tena,haya ni maajabu ya watu hawa. Utafikiri wamelazimishwa kuandika kila wanacho kiona.

Huku nimeshamwambia si mjibu hilo swali.

Kaka tafadhali sana usiwaaibishe hawa jamaa,ni wajibu wetu kuwasaidia,endapo wakiwa wa kweli katika kauli na matendo.
Miaka yote huwa namuuliza hili swali ila huwa hajibu.
 
Magu alisema wale walioimba 'wana imani na nani sijui' angewatimua wote siku hiyo hiyo... Mimi nasema kama ningelikuwa Mungu pindi tu kidole chako kinabonyeza kitufe cha kupost hapo hapo ningekugeuza senene!!

Unafanya dhihaka kama hizi na bado uko hai! Aisee Mungu ana uvumilivu wa hali ya juu sana... Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!
Aisee. Wewe ungekuwa Mungu tusingekuwepo kabisa ungebaki peke yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom