FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Tatizo lako kubwa ni udini,nakumbuka ulivyokuwa unashupalia mgogoro wa Ndanda High! utadhani ulikuwepo? Utakunywa sumu au hama nchi! nyamamf.....wewe!
Sasa unabadili mjadala kwa makusudi kabisa. Hivi mtu akiongea ukweli ndiyo mdini?
Nyerere nchi hii hatawali tena, wazee wa Dar walifanya makosa mara ya kwanza hawafanyi tena makosa hayo mara ya pili.
Labda safari hii Ikulu ihamie Mwitongo.