Akili na uwezo Wa Nyerere kifikra hata mkiungana waswahili wote hamuwezi kuufikia hata robo
Milembe umetoka lini?
Muulize huyo Makongoro, unaniuliza mimi?
team lowasa mna shida!
Na si mlevi tu ni cha pombe!Wewe siyo mlevi? Kwanza yawezekana unaulevi mbaya kuliko wake. Kwa huyu kura ya urais kwangu na familia yangu yote anazo
Ni wewe mirembe umetoka lini? Maana nakujua huwa unavua nguo na kuokota makopo jalalani
Mimi binafsi nitakuchangia nauli,one_way ticket to whatever country you wanna go and never come back again!Duh! huyo nani atampa Urais? labda wa Mirembe. Na ikitokea bahati mbaya na kama nipo hai, ujuwe ntaihama nchi kabla hajaapishwa, tena kabisaaaaa. Wala hujakosea.
"Akili nyingi haizidi maarifa". Usisahau.
Angekuwa na akili angeiwacha nchi hohe hahe masikini wa mwisho duniani? Fikiri.
Akatokea Mswahili mmoja tu wa Unguja, mwenye akili kidogo lakini maarifa mengi akasema "ruksa" nchi ikaanza kurudi inapostahiki.
Hili ndio tatizo la sisi Watanzania ,kila kitu ni kukalili,kwa kuwa watu wengi mnajua Lowasa ana watu wake kila mahala basi yoyote anayepinga mtu mwinginekuwa raisi ni pro/teamLowasa,hayoni mawazo finyu sio lazimawote tukubaliane hata waliozaliwa tumbo moja hupingana,na tatizo la hapa JF watu huwa mnakurupuka kuleta porojonzenu ili kupima upepo sasa mnapoona unga umezidi maji mnaanza kudai kila anayewapinga anahusiana na makundi ya uraisi,huenda wewe ni mgeni wa siasa na kuwajua wanasiasa,tuulize sisi watoto wa mujini kaka,nani asiyejua Makongoro Nyerere ni cha pombe?kweli chapombe awe raisi basi uraisi siku hizi ni kamanyumba kumi.Na mwishoungekuwa mjanja na kama kweli wewe mfuatiliaji wa mambo ya siasa humu JF ungejua mimi sifagilii viongozi sampuli ya Lowasa,jaribu kusoma comments zangu kabla ya kuniingiza huko unakodhani mimi ni mpambe,mimisio sampuli ya wapambe au ya wale wa buku 7
Labda rekodi zake ziwe zimeibwa na kuchakachuliwa. Huyo nnamjuwa fika tena ndiyo hunambiii lolote.
Nani mwenye wazimu ampe huyo Urais?
Ukiniuliza baadae ntakupa kisa chake cha "enzi zetu", lakini si saa hizi, wacha mjadala ukishatulia tunaweza kuweka mambo ya enzi zetu za mjini kidogo, kwa sasa itakuwa tunafanya fujo,mradi usisahau kunikumbusha tu.
Mimi binafsi nitakuchangia nauli,one_way ticket to whatever country you wanna go and never come back again!