gaspar kauki
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 578
- 194
kwani kikwete amekufa? kwani makongoro ni mtoto wa kikwete?
Ni kama tuu ayupo kwani sioni tofauti yeyote kuwa bila raisi au kuwa na raisi kilaza.
kwani kikwete amekufa? kwani makongoro ni mtoto wa kikwete?
Better you base on his merits rather than personal issues! by then Serikari inachukua kodi toka pombe,kutumia kileo si kosa!
Mlevi hana merits!
Mnataka kutuwekea Nyerere mwengine Ikulu.
Wa awali si haba, tulitosheka mpaka kucheua.
Akili na uwezo Wa Nyerere kifikra hata mkiungana waswahili wote hamuwezi kuufikia hata robo
team lowasa mna shida!Mlevi hana merits!
Mnataka kutuwekea Nyerere mwengine Ikulu.
Wa awali si haba, tulitosheka mpaka kucheua.
Mnataka kutuwekea Nyerere mwengine Ikulu.
Wa awali si haba, tulitosheka mpaka kucheua.
Mkuu hii nimeipenda.........nimewahi kumuona katika majukwaa ya siasa anaweza siasa za majukwaani , siasa za uenezi hasa zile za kisisiem za propaganda .Alimnyanyua sana mrema wakati akimpigia kampeni. Ikabidi nyere jk atumie nguvu nyingi kumkabili wakati mwingine alimponda hata nyerere jk kiaina katika namna ya vichekesho ,he is good.Kumsikia ni katika magazeti kwamba aliwakabili kina Lowasa na Chenge na Rostam kwenye kikao cha kuvuana magamba bila woga wala noma akawataja kwa majina kwamba bwana flani unaonaje uachie ngazi,pia amewahi kumkabbili mwenyekiti katika namna ya kujenga chama ,issue ni kwamba ni jasiri kuliko ccm yeyote na anaishi maisha rahisi kuliko mwiguli,makamba na wengine wanaojifanya wanyonge. Sitampa kura kwa kuwa tu ni ccm labda na uwezo kiutendaji.mI nitachagua ukawa ila akipata sitosononeka sana ni jasiri huyu bwana na hana makuu
hata mimi nitamuunga mkono
Sasa huyu Nyerere fake wa helikopta aliyeibuka kutoka Singida,itakuweje? Kina mwigulu chemba, badala ya kujenga majina yenu mnajikweza kuchukua majina ya wengine wakati wenye majina wangali hai. Shame on you!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Habari ndiyo hiyo,faiza utatoka sana mapovu,ni chungu lakini huna budi kumeza!
Jiandae kutawaliwa na Nyerere mwingine,hutaki hama nchi.