Makongoro Nyerere ampasulia JK!

Kwame Nkrumah

JF-Expert Member
Dec 2, 2008
886
376
Uamuzi huo ulikuwa umechangiwa kwa kiasi kikubwa na maoni shawishi ya mmoja wa Wenyeviti wa Mikoa, Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara, Charles Makongoro Nyerere, aliyesema watu wa kawaida walikuwa wakishangazwa na CCM kuendelea kukumbatia watu waliokuwa wakionekana wanashiriki katika ufisadi.
Akichangia wakati huo katika tathmini na mapendekezo ya Kamati Kuu ya kutaka Chenge, Lowassa na Rostam wawajibike, Makongoro Nyererealisema isingewezekana Chenge, Lowassa na Rostam kuendelea kuwa na nafasi za uongozi ndani ya chama.
Alisema wakati huo mtoa habari wetu: “ Kwanza alianza kwa kumwambia Mwenyekiti kwamba japo yeye ni Mwenyekiti wa Taifa, yeye (Makongoro) naye ni Mwenyekiti wa Mara na kwamba NEC ndio waajiri wa Mwenyekiti Taifa.
“ Akasema anapokaa Mwenyekiti wa Taifa ni mahala patakatifu na kwa ajili hiyo pasingeweza kusogelewa na shetani, hata kama siku moja Mungu alipata kukutana na shetani barabani.
“ Akasema kule site (kwenye eneo la ujenzi ambako yeye ndiko anakoshinda akichanganya zege na kupiga bati) wanasema na wanataka watuhumiwa wote wa ufisadi watoke kwenye nafasi zao.
“Lowassa ni ndugu yangu.Sina matatizo naye.Najua ananipenda, nami nampenda.Lakini kule site wanasema hapana.Atoke. Tena nawe Mweyekiti ulipokwenda Monduli, ukainua mkono wake juu, ukasema hujapata kuona kama yeye (Lowassa), kule site wakauliza, sasa hii ndiyo nini?
“Rostam simfahamu vizuri. Ninakotembelea yeye hawezi kuja na mimi siwezi kwenda anakotembelea. Sina ugomvi naye.Lakini kule site wanasema naye hapana. Ulipokwenda Igunga ukamuamsha mkono ukasema ni kama timu ya mpira iliyokamilika watu kwenye site wakauliza sasa hii ndiyo nini?
“Nasikia Chenge wanamwita Mzee wa Vijisenti. Ni ndugu yangu. Sina hakika kama anavyo vijisenti kiasi hicho. Lakini kwenye site, si mimi, watu wanasema naye hapana, “ alikaririwa akisema Makongoro.

SOMA ZAIDI HAPA: Raia Mwema | Lowassa apambana

Lowasa ana nguvu kiasi gani mpaka wanachama milioni 4 wa CCM wanashindwa kumtoa?
JK hawezi kumtoa Lowasa hata siku moja, kwa kutoa siri zao kidogokidogo ni kama vile Lowasa anamwambia JK angalia sana, nina mengi zaidi ya kusema. JK ameshikwa mateka na Lowasa. Lowasa hana cha kupoteza kama ataongea yote.
 
Je baada ya haya maneno JK alisema nini maana lazima atakuwa kasema kitu kama kawaid yake.Am curious .
 
JK alitaka kujitutumua na kamtandao kake, kameshindwa na sasa anampigia magoti Lowasa aliyemwita gamba!!! Wananchi pekee ndiyo walioachiwa jukumu hilo la kuling'oa gamba hilo kupitia urais 2015 endapo atagombea!!!
 
Uamuzi huo ulikuwa umechangiwa kwa kiasi kikubwa na maoni shawishi ya mmoja wa Wenyeviti wa Mikoa, Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara, Charles Makongoro Nyerere, aliyesema watu wa kawaida walikuwa wakishangazwa na CCM kuendelea kukumbatia watu waliokuwa wakionekana wanashiriki katika ufisadi.
Akichangia wakati huo katika tathmini na mapendekezo ya Kamati Kuu ya kutaka Chenge, Lowassa na Rostam wawajibike, Makongoro Nyererealisema isingewezekana Chenge, Lowassa na Rostam kuendelea kuwa na nafasi za uongozi ndani ya chama.
Alisema wakati huo mtoa habari wetu: “ Kwanza alianza kwa kumwambia Mwenyekiti kwamba japo yeye ni Mwenyekiti wa Taifa, yeye (Makongoro) naye ni Mwenyekiti wa Mara na kwamba NEC ndio waajiri wa Mwenyekiti Taifa.
“ Akasema anapokaa Mwenyekiti wa Taifa ni mahala patakatifu na kwa ajili hiyo pasingeweza kusogelewa na shetani, hata kama siku moja Mungu alipata kukutana na shetani barabani.
“ Akasema kule site (kwenye eneo la ujenzi ambako yeye ndiko anakoshinda akichanganya zege na kupiga bati) wanasema na wanataka watuhumiwa wote wa ufisadi watoke kwenye nafasi zao.
“Lowassa ni ndugu yangu.Sina matatizo naye.Najua ananipenda, nami nampenda.Lakini kule site wanasema hapana.Atoke. Tena nawe Mweyekiti ulipokwenda Monduli, ukainua mkono wake juu, ukasema hujapata kuona kama yeye (Lowassa), kule site wakauliza, sasa hii ndiyo nini?
“Rostam simfahamu vizuri. Ninakotembelea yeye hawezi kuja na mimi siwezi kwenda anakotembelea. Sina ugomvi naye.Lakini kule site wanasema naye hapana. Ulipokwenda Igunga ukamuamsha mkono ukasema ni kama timu ya mpira iliyokamilika watu kwenye site wakauliza sasa hii ndiyo nini?
“Nasikia Chenge wanamwita Mzee wa Vijisenti. Ni ndugu yangu. Sina hakika kama anavyo vijisenti kiasi hicho. Lakini kwenye site, si mimi, watu wanasema naye hapana, “ alikaririwa akisema Makongoro.

SOMA ZAIDI HAPA: Raia Mwema | Lowassa apambana

Lowasa ana nguvu kiasi gani mpaka wanachama milioni 4 wa CCM wanashindwa kumtoa?
JK hawezi kumtoa Lowasa hata siku moja, kwa kutoa siri zao kidogokidogo ni kama vile Lowasa anamwambia JK angalia sana, nina mengi zaidi ya kusema. JK ameshikwa mateka na Lowasa. Lowasa hana cha kupoteza kama ataongea yote.

Huyu Makongoro sijui Makhirikhiri ni uharo tu anaouongea.
Baba yake alimshika mkono Mkapa na kutuambia kuwa Mkapa ni mtu safi.

Sasa ana usafi gani kwa mali alizojilimbikizia yeye na mkewe?
 
Huyu Makongoro sijui Makhirikhiri ni uharo tu anaouongea.
Baba yake alimshika mkono Mkapa na kutuambia kuwa Mkapa ni mtu safi.

Sasa ana usafi gani kwa mali alizojilimbikizia yeye na mkewe?

nahisi hutumii ubongo kufikiri,usimlaumu nyerere kumuita mkapa msafi.ni kweli mkapa alikua msafi kabla ya kifo cha nyerere na utofauti wa jk ni kuwa aliwapigia kampeni watuhumiwa wa ufisadi na wote tuliona,nyerere asingethubutu kuwapigia kampeni na ni kuwa nyerere angehamia Chadema haraka.
 
Nafikiri sasa tumeanza kupata picha halisi ya Chama cha Magamba. Inanikumbusha moja ya mistari katika Biblia "Asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe huyu mama". Mara wote wakatawanyika
 
Huyu Makongoro sijui Makhirikhiri ni uharo tu anaouongea.
Baba yake alimshika mkono Mkapa na kutuambia kuwa Mkapa ni mtu safi.

Sasa ana usafi gani kwa mali alizojilimbikizia yeye na mkewe?

Hata shetani alikùwa malaika. "Just thinking."
 
Jamani hii habari ni ya lini? Makongoro aliyasema hayo katika kikao kilichoisha jana (25/11/2011) ni katika kikao kile cha mwezi Aprili, 2011? Naona humu JF tumeanza mtindo kulishana habari kama vile ni habari mpya kumbe ya zamani. Hata kama habari ni relevant ni vizuri ikawekwa sawa kwamba ni lini na wapi yalisemwa hayo.
 
Uamuzi huo ulikuwa umechangiwa kwa kiasi kikubwa na maoni shawishi ya mmoja wa Wenyeviti wa Mikoa, Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara, Charles Makongoro Nyerere, aliyesema watu wa kawaida walikuwa wakishangazwa na CCM kuendelea kukumbatia watu waliokuwa wakionekana wanashiriki katika ufisadi.
Akichangia wakati huo katika tathmini na mapendekezo ya Kamati Kuu ya kutaka Chenge, Lowassa na Rostam wawajibike, Makongoro Nyererealisema isingewezekana Chenge, Lowassa na Rostam kuendelea kuwa na nafasi za uongozi ndani ya chama.
Alisema wakati huo mtoa habari wetu: " Kwanza alianza kwa kumwambia Mwenyekiti kwamba japo yeye ni Mwenyekiti wa Taifa, yeye (Makongoro) naye ni Mwenyekiti wa Mara na kwamba NEC ndio waajiri wa Mwenyekiti Taifa.
" Akasema anapokaa Mwenyekiti wa Taifa ni mahala patakatifu na kwa ajili hiyo pasingeweza kusogelewa na shetani, hata kama siku moja Mungu alipata kukutana na shetani barabani.
" Akasema kule site (kwenye eneo la ujenzi ambako yeye ndiko anakoshinda akichanganya zege na kupiga bati) wanasema na wanataka watuhumiwa wote wa ufisadi watoke kwenye nafasi zao.
"Lowassa ni ndugu yangu.Sina matatizo naye.Najua ananipenda, nami nampenda.Lakini kule site wanasema hapana.Atoke. Tena nawe Mweyekiti ulipokwenda Monduli, ukainua mkono wake juu, ukasema hujapata kuona kama yeye (Lowassa), kule site wakauliza, sasa hii ndiyo nini?
"Rostam simfahamu vizuri. Ninakotembelea yeye hawezi kuja na mimi siwezi kwenda anakotembelea. Sina ugomvi naye.Lakini kule site wanasema naye hapana. Ulipokwenda Igunga ukamuamsha mkono ukasema ni kama timu ya mpira iliyokamilika watu kwenye site wakauliza sasa hii ndiyo nini?
"Nasikia Chenge wanamwita Mzee wa Vijisenti. Ni ndugu yangu. Sina hakika kama anavyo vijisenti kiasi hicho. Lakini kwenye site, si mimi, watu wanasema naye hapana, " alikaririwa akisema Makongoro.

SOMA ZAIDI HAPA: Raia Mwema | Lowassa apambana

Lowasa ana nguvu kiasi gani mpaka wanachama milioni 4 wa CCM wanashindwa kumtoa?
JK hawezi kumtoa Lowasa hata siku moja, kwa kutoa siri zao kidogokidogo ni kama vile Lowasa anamwambia JK angalia sana, nina mengi zaidi ya kusema. JK ameshikwa mateka na Lowasa. Lowasa hana cha kupoteza kama ataongea yote.
hii habari ni muda mrefu wala si mpya
 
Huyu Makongoro sijui Makhirikhiri ni uharo tu anaouongea.
Baba yake alimshika mkono Mkapa na kutuambia kuwa Mkapa ni mtu safi.

Sasa ana usafi gani kwa mali alizojilimbikizia yeye na mkewe?

Naliongea hili nikiwa sina maslahi kabisa na magamba! Mkuu usisahau wakati ule kiuongozi walau Mkapa alikuwa nafuu kuliko, Lowassa. Vichwa aina ya rostam ndo walimchakachua akili yake kuelekea 2005.
 
Back
Top Bottom