mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,170
auliwe na nani , walikuwa wanantaka baba yake tu.
watanzania ni viwanda vya kutengeneza umbea, uwongo na uzandiki, makongoro afe kwa lipi? labda pombe na wanawake
Makongoro Nyerere anasema kuwa watu 15 wanataka kumuua.
Hivi kutia nia ni kuwaponda wagombea wengine? Maanake style yake ilikuwa ni kuwaponda akina Wassira, Lowassa, na kadhalika.
Mbona watia nia wengine wapo kimya kabisa kama Dr. Maghufuli.
Hao mliowalisha SUMU na wakanusulika mlitaka kuwaua kwa lipi? Mnalilia madaraka kwa udi na uvumba eti ili mtenegeneze serikali ya MASKINI NA MATAJIRI!!!!! Hiyo ni ndoto ya MWEHU kwani toka lini MATAJIRI WAKALA SAHANI MOJA NA MASKINI? Wangekuwa wanakula sahani moja MATAJIRI wasingekuwa wanaficha mapesa yao USWISS!!!.
Kile kituo cha Kaburu Mzee wa Mizinga haaa haaa akikuona pale lazima akupiga mzinga wa ukweli.Namsangaa Muislam safi mwezi mtukufu anakunywa Kilimanjaro mtindo mmoja.
Halafu jana kuna rafiki yangu MwanaCCM damu aligombea nafasi ya mwenyekiti (Kaka siku hizi balozi wa nyumba kumi) akangukia pua jana aliponiona akawaambia vijana mpisheni mzee hawezi kusimama foleni sikuchukua hata dakika 5 tayari kisu kipo mkononi tayari kuchinja mwezi october.Ikabidi niende makutini kutwanga maji ningerejea nyumbani mapema wangeshangaa sana.
Rais wa wanywa gongo au? hili nalo linahangaika tu ..yaani mtu hajawahi hata kuwa katibu kata eti anautaka u Rais si upumbafu huu
ni mbunge huyo kumbuka..na mwl nyerere je? mbna yy alitoka ualimu akawa kiongoz wa kisiasa
anamuonea wivu hana lolote huyomtoto wa rais tena wa kwanza na mwenye heshima ndani na nje ya tanzania na aliyekaa madarakani kwa miaka mingi atatafutaje umaarufu? nadhani wewe kwa kujibu hivi ndiyo unatafuta umaarufu. hivi kwa mfano leo hii utasemaje mtoto wa rais wa marekani obama " sasha " anatafuta umaarufu?
Hahahaaaa usinchekeshe.CCm ni chama pekee chenye watumishi na viongozi hata wa ngazi ya juu kabisa ambao wanakituhumu kinataka kuwadhuru.Kwa mshangao badala ya kuachana na wauaji bado wanazidi kuwakumbatia mfano Dk.Mwakyembe naye aliwahi kulitamka hili tena kwa undani kabisa akisaidiwa na Sitta.Ila siamini kama wanasema wanachokiamini au wanaamini wanachokisema ni kama vile mazingaumbwe au wanatukejeli vile ili waone tutasemaje au wanatafuta huruma ya kisiasa.si akaripoti polisi,hata wewe ndugu yake,on top of that wewe ni kampeni manager wake hujamshauri? mi naona mizimu ya nyerere haijaridhika kwa yeye kuweka nia,inamtokea kila wakati usiku ila yeye anashindwa kutafsiri sura za hiyo mizimu 15
Rais wa wanywa gongo au? hili nalo linahangaika tu ..yaani mtu hajawahi hata kuwa katibu kata eti anautaka u Rais si upumbafu huu
Hivi kutia nia ni kuwaponda wagombea wengine? Maanake style yake ilikuwa ni kuwaponda akina Wassira, Lowassa, na kadhalika.
Mbona watia nia wengine wapo kimya kabisa kama Dr. Maghufuli.