Makongoro anasema watu 15 wanataka kumuua

Makongoro anasema watu 15 wanataka kumuua

Ilikuwa Mwakyembe sasa anataka kumuua Mako. Huyu fisadi hatari.
 
Hana lolote huyo anavunja kabisa heshima ya baba wa Taifa anajilazimisha tu kwenye siasa lkn hayupo

sio kweli anajua anachokifanya najua angesema mtu fulani mgeshangilia lakini mungu yuo kwa haya

1, kuwanyonyoa ngozi mwakyembe na mwandosya
2, kutaka kumpa sumu comred magula
3, na sasa makongoro

labda kama sio mungu wa kweli,
 
Rais wa wanywa gongo au? hili nalo linahangaika tu ..yaani mtu hajawahi hata kuwa katibu kata eti anautaka u Rais si upumbafu huu

kumbe jamaa anapiga gongo! ni noma
 
sio kweli anajua anachokifanya najua angesema mtu fulani mgeshangilia lakini mungu yuo kwa haya

1, kuwanyonyoa ngozi mwakyembe na mwandosya
2, kutaka kumpa sumu comred magula
3, na sasa makongoro

labda kama sio mungu wa kweli,

Una ushahidi na unayoyasema?
 
Lakini kesha sema hawamuwezi. Nadhani hapa alikuwa anawakumbusha kuwa yeye ni kapteni wa Jeshi na kama kukoswakoswa basi alishakoswa sana Uganda
 
... Wewe sema porojo tu.

Team lowassa ndio wanataka kumuua Makongoro.

View attachment 265974

DSC00309.jpg
 
Anatafuta umaarufu

mtoto wa rais tena wa kwanza na mwenye heshima ndani na nje ya tanzania na aliyekaa madarakani kwa miaka mingi atatafutaje umaarufu? nadhani wewe kwa kujibu hivi ndiyo unatafuta umaarufu. hivi kwa mfano leo hii utasemaje mtoto wa rais wa marekani obama " sasha " anatafuta umaarufu?
 
Kama ni kweli Mako unatakiwa uwe makini maana kwenye vijiwe vya kahawa wanasemaga hata TEACHER aliondolewa 1999 ili 2005 asilete kiwingu
 
huyu ndo karata ya ccm ili ipone. na ndo maana mafisad wameanza kushikwa na hofu. mwanga wa mabadiliko umewamulikia. wao wanataka giza. mako ndo kiboko yao. mkomboz wa tz mpya.
 
Huyo kigoda mbona wanamchelewesha sana,walimkosakosa kwenye escrow wambane huku na jimbo apokonywe na ukawa
 
Ningeshangaa kama Makongoro asingetishiwa maisha hawa jamaa ni shida nyingine kabisa linapokuja suala la kutaka madaraka.

watanzania ni viwanda vya kutengeneza umbea, uwongo na uzandiki, makongoro afe kwa lipi? labda pombe na wanawake
 
Makongoro anatafuta kick..!!! Atakuwa kalewa zake, ndio kasema haya

He has no policies, politics, he just pollutes the political atmosphere to get attention, publicity and cheap popularity...!!!
 
Back
Top Bottom