Makongoro anasema watu 15 wanataka kumuua

Makongoro anasema watu 15 wanataka kumuua

Mafisadi na majizi wa ccm yameshaanza kutishiana mpaka tarehe 12.07.2015 ccm imepasuka vipande-vipande yatauana na kuparuana sana lakini mwisho wao ni mwaka huu
 
Mimi naenda kesho pale uwanja wa UFLO. Nyuma ya ghorofa mbili.
Mamvi kuanzia tarehe 12.07.2015 ICU ndo yatakuwa makazi yake ya kudumu mtatishiana mpaka kuuana lakini ccm lazima iondoke madarakani hii nchi siyo baba yenu.
 
Makongoro Nyerere anasema kuwa watu 15 wanataka kumuua.
siasa za ccm ni sawa na kucheza kwenye kinywa cha mamba ! kuna hata walionyonyoka nywele lakini bado wamo tu ! hivi kuna kizuri ndani ya ccm kushinda uhai ? mnasubiri nini kuondoka?
 
Tutaona na kusikia Mengi mpaka mwezi wa 10, Mako kawa mwiba sasa naona wanataka kumzika mapema.


Hao waliowekeza BILL 50 za shilingi za bongo hawawezi kumuacha Makongoro akachukua kiti badala ya mtu wao; ndio maana nikasema hao marafiki wa Lowassa wanaomchangia hayo mahela ni lazima ni wazungu wa biashara ya Unga!! Katika biashara ya UNGA ndio huko watu wanakouawa mysteriously; hivyo watu wasipuuzie vitisho vya kutaka kumuua Mako , Amina Chifupa alitishia kuwataja wauza UNGA na badala yake hawakumgoja awataje wakamyeyusha!!! Makongoro na serikali ni lazima wachukue tahadhali ,hawa waliowekeza kwa Lowassa wana uchungu na pesa zao. Wengine hata wameuza shares zao walizowekeza huko VODACOM!!! Hawa ni genge la MAFIA>
 
yule mwanamke aliyekuwa naye nyumba ya wageni ndio wapange kuumua.

asitafute kick na Lowasa hatoweza.
 
yaani team makorongo wana mada za kilevilevi mfyuuuuu!!!
 
Wamuue kwa lipi? Anatafuta pa kutokea tu, hana lolote vilevile.


Hao mliowalisha SUMU na wakanusulika mlitaka kuwaua kwa lipi? Mnalilia madaraka kwa udi na uvumba eti ili mtenegeneze serikali ya MASKINI NA MATAJIRI!!!!! Hiyo ni ndoto ya MWEHU kwani toka lini MATAJIRI WAKALA SAHANI MOJA NA MASKINI? Wangekuwa wanakula sahani moja MATAJIRI wasingekuwa wanaficha mapesa yao USWISS!!!.
 
Hivi kutia nia ni kuwaponda wagombea wengine? Maanake style yake ilikuwa ni kuwaponda akina Wassira, Lowassa, na kadhalika.

Mbona watia nia wengine wapo kimya kabisa kama Dr. Maghufuli.

 
Last edited by a moderator:
Sasa huyu kama kumuua si ingekuwa rahisi kama kuua panya, mtu anapigwa selfie na machangu gest!!
 
Mamvi kuanzia tarehe 12.07.2015 ICU ndo yatakuwa makazi yake ya kudumu mtatishiana mpaka kuuana lakini ccm lazima iondoke madarakani hii nchi siyo baba yenu.
Utakuta huyo mamvi ndo anaongezewa ulinzi. Never say never mpaka dk 90 ziishe!
 
si akaripoti polisi,hata wewe ndugu yake,on top of that wewe ni kampeni manager wake hujamshauri? mi naona mizimu ya nyerere haijaridhika kwa yeye kuweka nia,inamtokea kila wakati usiku ila yeye anashindwa kutafsiri sura za hiyo mizimu 15

Nani kakwambia hajariport?
 
Rais wa wanywa gongo au? hili nalo linahangaika tu ..yaani mtu hajawahi hata kuwa katibu kata eti anautaka u Rais si upumbafu huu

Nna wasiwasi kama unamjua makongoro au la!
Mbunge wa bunge la afrika mashariki Nadhani ni babako
 
Hivi mtu kama anapata tishio la kushindwa uchaguzi anapanga kuua wapinzani wake jee akipewa madaraka na akashindwa ku delivery kinachotegemewa na mkamwambia mtamtoa itakuwaje?
Huyo atatupiga na makombora ya kutungua ndege kama yule wa Korea kaskazini

Kama umesoma na kulielewa bandiko la Chinembe hukua na haja ya kuandika na wewe.
 
Back
Top Bottom