Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,918
- 5,113
Huo unaouongea sio uongo unafiki?hizo pombe na wanawake unamtaftiaga mkuu au mnakunywa wote?na mwanaume gani ambae apendi wanawake...au we gay mkuu?mtu kulewa ajabu nini au kakuvulia nguo barabarani ?sema wapi alilewa akashindwa kujiheshim? Akilewa Obama au Bush..Mourinho. . Ferguson unasema wana enjoy mvinyo..tabu akinywa Makongoro tu sio?
Huo wako sasa ndo uongo na unafki
Well said thanks mkuu