Makongoro anasema watu 15 wanataka kumuua

Makongoro anasema watu 15 wanataka kumuua

Huo unaouongea sio uongo unafiki?hizo pombe na wanawake unamtaftiaga mkuu au mnakunywa wote?na mwanaume gani ambae apendi wanawake...au we gay mkuu?mtu kulewa ajabu nini au kakuvulia nguo barabarani ?sema wapi alilewa akashindwa kujiheshim? Akilewa Obama au Bush..Mourinho. . Ferguson unasema wana enjoy mvinyo..tabu akinywa Makongoro tu sio?
Huo wako sasa ndo uongo na unafki

Well said thanks mkuu
 
Makongoro mlevi huyu huyu asiye na sera yoyote ndio akawe rais wetu? Watanzania tutakuwa wehu sasa

Your father being a professor doesn't mean that you will also be.....author unknown

Ikulu sio ya babayako!!!
 
Duu humu ndani ya Jamii forum kunashida. Watu bado wanamawazo ya zama za ujima. Eti "yaani mtu hajawahi hata kuwa katibu kata eti anautaka u Rais si upumbafu huu"
Leo ndugu yangu unawaza kizamani hivyo! Nenda Darasani ndugu.

Wewe Makongoro unamjua kweli. ?hajawai kuwa nani?I advice you tafta Cv yake...kwa haraka tu ni kuwa alishawai kuwa mbunge Arusha..mwenyekiti Ccm mkoa Mara..now ni mbunge wa bunge la East Africa. .na baada vita ya uganda alibaki uganda kutoa mafunzo kwa jeshi la uganda. .
 
Iko tofauti kati ya kuponda na kusema ukweli. Mako anasema ukweli mnataka kumkolimba.
Hivi angesema Wasira ni mrembo kuliko Wema nadhani mngechekelea

Point yangu ni kwamba je kusema vibaya watia nia wenzake ndio utaratibu wa CCM? Au ilikuwa ni another version ya hotuba ya marehemu Nyerere pale Kilimanjaro hotel 1995? Je, sio kuwa alikuwa anaingilia/ influence maamuzi ya vyombo vya maamuzi vya CCM juu ya watia nia?
 
Makongoro Nyerere anasema kuwa watu 15 wanataka kumuua.
Makongoro namuaminia sana ila sijui kama hao mafisadi watapata usingizi akiwa hai. Tumewahi kuambiwa hapa kuwa they put Mwalimu to death, so it seems that they believe they can do anything! Both Mwakyembe and Mwandosya know them very well.
 
Duu humu ndani ya Jamii forum kunashida. Watu bado wanamawazo ya zama za ujima. Eti "yaani mtu hajawahi hata kuwa katibu kata eti anautaka u Rais si upumbafu huu"
Leo ndugu yangu unawaza kizamani hivyo! Nenda Darasani ndugu.

Wewe una mawazo ya ujima kweli kweli; hutafuti habari bali unataka habari zikuijie zenyewe. Afadhali ungesema hajawahi kuwa waziri kuliko Katibu Kata kwani hicho ni cheo kidogo sana kwa mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la afarika ya mashariki. Najua huenda hajakupa buku kwa hiyo humjui.
 
Si akireport polisi nan anataka kumuua kwa kipi labda wanywa gongo wenzie

Makongoro ndio mwiba kwa Team mafisadi na vibaraka wenu.Fisadi limehongwa na muhindi halafu linakuja kuwahonga buku 20000.

Mtazirudisha hizo fedha kudadadeki.
 
Makongoro ndio mwiba kwa Team mafisadi na vibaraka wenu.Fisadi limehongwa na muhindi halafu linakuja kuwahonga buku 20000.

Mtazirudisha hizo fedha kudadadeki.

Ongea fact sio kufata mkumbo mbona kama unapanic au hiyo username imekutisha? hayo ni majina yanafanana kijana ulikuwepo wakati naongwa 20000 au ni siasa za chuki zinakuandama kama ni fisadi serikali iliwahi kumshitaki wapi leta ushahidi alikuibia sh. ngapi na wapi au unaendeshwa na tuhuma za kupuuzi na kufata mkumbo jiandae kisaikolojia kuongozwa na fisadi usiku mwema
 
bintEdo jiandae kujisalimisha kwa mamvi kama huna cha kulipa
 
Huo unaouongea sio uongo unafiki?hizo pombe na wanawake unamtaftiaga mkuu au mnakunywa wote?na mwanaume gani ambae apendi wanawake...au we gay mkuu?mtu kulewa ajabu nini au kakuvulia nguo barabarani ?sema wapi alilewa akashindwa kujiheshim? Akilewa Obama au Bush..Mourinho. . Ferguson unasema wana enjoy mvinyo..tabu akinywa Makongoro tu sio?
Huo wako sasa ndo uongo na unafki

Nilichoona kwenye hii post yako ni KUPINGA NA BAADAYE UKAMALIZIA KUIKUBALI HOJA YA JAMAA ULIYEMJIBU.

By the way, kwani Makongoro anakunywa na kuoenda wanawake kwa sababu wanaume wengine wanapenda mambo hayo? Kwani hakuna wanaume wasiopenda hayo..?
 
Back
Top Bottom