Makongoro anasema watu 15 wanataka kumuua

Makongoro anasema watu 15 wanataka kumuua

supu ya kongoro inafaa sana wanywa gongo
 
anauawa kwa lipi la kutisha alilonalo?

jamaa anachosha sana
 
Eti jembe ataliweka makumbusho,Weee nani?
 
Siasa za majukwaa haziwatoshi mpaka mnataka kutoana roho.
 
Sipati picha, jamaa wanakwenda Butiama kuomba baraka za Baba wa Taifa na wakiwa wamepiga magoti pale kaburini hapo hapo wanafikiria jinsi ya kumtoa mwanawe uhai ili waingie Ikulu. Kweli CCM/Tz kumekucha wakichukua nchi sisi wengine si ndio basi tena?????
 
Wamuue kwa lipi? Anatafuta pa kutokea tu, hana lolote vilevile.
 
Duh mkimaliza kazi mnakwenda msibani mnatoa mabilioni kwa Jaji Aisha na Mama Nyerere ili kuficha uovu wenu.Nani kasahau baada ya Dr Mwakyembe kusoma ripoti ya Richmond nini kilimtokea.

watanzania ni viwanda vya kutengeneza umbea, uwongo na uzandiki, makongoro afe kwa lipi? labda pombe na wanawake
 
Nakwambia Mako asipokuwa mjanja watamwondoa haraka sana.Unajua Mako ndio mwanasiasa pekee mwenye uwezo wa kumwabia Lowassa ni kibaka wengine wote wanamwogopa kuliko maelezo.




Sipati picha, jamaa wanakwenda Butiama kuomba baraka za Baba wa Taifa na wakiwa wamepiga magoti pale kaburini hapo hapo wanafikiria jinsi ya kumtoa mwanawe uhai ili waingie Ikulu. Kweli CCM/Tz kumekucha wakichukua nchi sisi wengine si ndio basi tena?????
 
Rais wa wanywa gongo au? hili nalo linahangaika tu ..yaani mtu hajawahi hata kuwa katibu kata eti anautaka u Rais si upumbafu huu

Acha gongo na mibangi yako wewe..mako alikuwa mbunge wa Arusha
 
Yaaani wanataka kutuulia Rais wetu!!!! hii haikubaliki kabisaaaa
 
Kile kituo cha Kaburu Mzee wa Mizinga haaa haaa akikuona pale lazima akupiga mzinga wa ukweli.Namsangaa Muislam safi mwezi mtukufu anakunywa Kilimanjaro mtindo mmoja.

Halafu jana kuna rafiki yangu MwanaCCM damu aligombea nafasi ya mwenyekiti (Kaka siku hizi balozi wa nyumba kumi) akangukia pua jana aliponiona akawaambia vijana mpisheni mzee hawezi kusimama foleni sikuchukua hata dakika 5 tayari kisu kipo mkononi tayari kuchinja mwezi october.Ikabidi niende makutini kutwanga maji ningerejea nyumbani mapema wangeshangaa sana.



Mimi naenda kesho pale uwanja wa UFLO. Nyuma ya ghorofa mbili.
 
Back
Top Bottom