mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Mkuu wa mkoa wakuu wa nchi wapi na wapi
Wengine wanaruhusiwa hadi wanne.
Sijui kama kakumbuka hilo. Zero brain huyu. Eti atawauliza wanaokuja Kwenye mkutano wa SADC kupata uzoefu katika nchi zao.
Jamaa wataondoka wakijua Wabongo mafala sana. Ujinga huu uwaulize kwa akina Mswati?