Makonda kuteuliwa kuwa waziri wa habari maana yake ni moja tu

Makonda kuteuliwa kuwa waziri wa habari maana yake ni moja tu

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
997
Reaction score
2,320
Uhuru wa habari utazidi kuminywa..
Vyombo vitazidi kuminywa na mateso yatazidi zaidi..

Maana ya kumteua ni moja tu..
Kumaliza yale yote yaliyobaki...

Kumbuka huyu ni mpenda Sifa yaani hapo Dully Sykes akajifunze..
Kwa hiyo tutegemee sana wimbo wa mama this ... Mama that..
Uzuri ni kwamba hata hiyo nafasi hawezi kuridhika nayo..
Maana toka mwanzo sio target yake..

2 Mambo ya Nyakati 10:11
Basi kama baba yangu aliwatwika kongwa zito, mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu akiwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa nge.!
 
Back
Top Bottom