Makonda: Kuanzia tarehe 28/3/2020 hakuna ndege itakayotua Dar kwa sababu mashirika mengi ya ndege yamesimamisha safari

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,234
142,409
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema kuanzia tarehe 28/3/2020 hakuna ndege itakayotua katika uwanja wa ndege wa JNIA kwa kuwa mashirika ya ndege ya kimataifa yamesimamisha safari.

Makonda ameyataja mashiirika hayo kuwa ni pamoja na KLM, Emirates , SAA , KQ, Ethiopian Airlines na Qatar. Amesema kwa mfano ndege iliyokuwa inakuja na abiria 259 kutoka Amsterdam kwa sasa inakuja na abiria 15.

Makonda amemalizia kwa kusema ndio maana serikali haikukurupuka kugunga viwanja kwa sababu inajua watu wana akili na kwahiyo wataacha wenyewe kusafiri bila ya kushurutishwa.

Makonda amesema hayo katika ziara yake ya JNIA jijini Dsm.

Source Channel ten tv!
 
Du inabidi tuwape somo na uzoefu wetu kutumia fursa za majanga ya wengine kupiga kazi.
...Wakati wa mabondeni wanafurika...nyie walimani limeni mje muwapige bei...
... Tusitishane....corona...chapeni kazi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao watu wameacha wenyewe kusafiri au serikali zao zimewaweka kwenye “lockdown”? Huyu jamaa naona kama kapanic sijui kwanini?

Europe na America kote serikali zimefunga mipaka, yeye anasema eti serikali yetu ilijuwa watu hawatasafiri wao wenyewe na ndiyo maana hawakuweka zuiyo lolote la wageni kuingia nchini.🤦🏾‍♂️
 
Huyu alikuwa kapotea kwenye media,naona ameanza kuforce kiki upya!
 
Siku mambo yakiharibika tutatafutana.

Tuombe Mungu tusifike huko.
Screenshot_20200323-200250.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema kuanzia tarehe 28/3/2020 hakuna ndege itakayotua katika uwanja wa ndege wa JNIA kwa kuwa mashirika ya ndege ya kimataifa yamesimamisha safari.

Makonda ameyataja mashiirika hayo kuwa ni pamoja na KLM, Emirates , SAA , KQ, Ethiopian Airlines na Qatar. Amesema kwa mfano ndege iliyokuwa inakuja na abiria 259 kutoka Amsterdam kwa sasa inakuja na abiria 15.

Makonda amemalizia kwa kusema ndio maana serikali haikukurupuka kugunga viwanja kwa sababu inajua watu wana akili na kwahiyo wataacha wenyewe kusafiri bila ya kushurutishwa.

Makonda amesema hayo katika ziara yake ya JNIA jijini Dsm.

Source Channel ten tv!
Huyu jamaa na anayemtuma always ni wajinga sana nafikiri watu wanashindwa kuwaelewa au wanawapuuzia tu.
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema kuanzia tarehe 28/3/2020 hakuna ndege itakayotua katika uwanja wa ndege wa JNIA kwa kuwa mashirika ya ndege ya kimataifa yamesimamisha safari.

Makonda ameyataja mashiirika hayo kuwa ni pamoja na KLM, Emirates , SAA , KQ, Ethiopian Airlines na Qatar. Amesema kwa mfano ndege iliyokuwa inakuja na abiria 259 kutoka Amsterdam kwa sasa inakuja na abiria 15.

Makonda amemalizia kwa kusema ndio maana serikali haikukurupuka kugunga viwanja kwa sababu inajua watu wana akili na kwahiyo wataacha wenyewe kusafiri bila ya kushurutishwa.

Makonda amesema hayo katika ziara yake ya JNIA jijini Dsm.

Source Channel ten tv!
Kawa msemaji wa hayo mashirika? Hii kichwa sio nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda kwenye ujinga wake

Huyu ni JUHA ni wa kumpuuza sana mno tuu huwa hana maana yoyote zaidi ya kukurupuka.

Jana ilikuwa kwa familia ya Mbowe leo yuko na mashirika ya Umma akila hana kabisa badala ya kwenda kwenye usafiri wa hapa hapa haswaw mwendokasi na daladala
 
Hivi hawa viongozi wengi wao huwa hawafuatilii kabisa yanayoendelea duniani?
Mmoja alisema watalii waje tu
Mwingine kasema wawekwe quarantine wanaoingia tena kwa gharama zao na wamechagua zile hotel za ghali
Kuna harufu hapo
Huku dunia ya nje sio kwamba eti tuna akili kubwa
Wakati mataifa wanasema watafunga mipaka, viongozi wengi walikuwa wanaona kama utani vile
Kweli sisi ni fuata upepo tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Huyu jamaa na anayemtuma always ni wajinga sana nafikiri watu wanashindwa kuwaelewa au wanawapuuzia tu.
Wewe ndiyo mpuuzi sana kuliko watu wote duniani. Alichokiongea RC ni reality watu wataacha wenyewe kuja TZ kama ndege kutoka kwenye nchi zilizoasirika hazitakuja ni automatically wageni hawatakuja. Wewe huoni logic hiyo?
 
Back
Top Bottom