Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

Akamwajiri mama yake..hiyo milion mbili kwani hata chai unaweza kupata?
 
Viongozi wa lalasalama wanajikosha kweli sasa kwa pesa gani aliyo nayo
 
labda hao alio waajiri ni ma bush lawyers ..au wale ambao bado hawajapata sehemu pa ku practice law .
Au labda anaongelea leaned friends to be,I mean wanaofanya field .
 
Kwani tatizo ni nini hasa? yeye ndiye aliyewaajiri kwa makubaliano hayo sasa kama ni radhi inabidi wakuombe hao waajiriwa kwa kukiuka rate ya wanasheria. Nadhani Makondakta amewaajiri kama mtu binafsi!
 
mbona kasema wengine ni walimu vya vyuo vikuu,kwahiyo anasaidiana nao.
 
Mmmhhh… huyo naye!? Na kujitafutia umaalufu kwa njia za kipuuzi, kamailivyokuwa kwa mkubwa wa kaya, naye alilopoka eti anawajua wafanya biashara wamadawa ya kulevya. Hayo aliyasema alipozindua kile alicho kiita Kindoni Cup,kwa kuwaasa vijana waache kutumiwa na watu wanao fanya biashara za madawa yakulevya. Nikajiuliza hii mitanzania miongozi inalogwa na nani!!??

Wewe kama unawafahamuwauza unga na wewe ni mkuu wa wilaya na hujachukua hatua yoyote kwa kuwakamata,unabwabwaja nini kwenye media? Kaa kimya au ujiuzuru, eeeh si umeshindwa njiaya kuwa chukulia hatua kwa mamlaka uliyonayo!?

Kama wewe ni kiongozi unaye juawajibu wako huna haja ya kulalamika sawa na mimi mwananchi wa kawaida, nimawili aidha umeshindwa kuchukua hatua kwa vile walioko juu yako hawatakiuchukue hatua dhidi ya waharifu hivyo dhana ya kulindana inaendelea au utambueumuhimu wa kazi yako na wajibu wa wale unao waongoza hivyo kuamua kuacha kazi,basi, simple!
Mnachefua sana….. aaahhhhh!
 
Sio kila mtaalam anataka kulipwa pesa nyingi. Mwingine analipwa symbolically tu.
Ulitakiwa kutafuta taarifa zaidi kabla ya kulalamika.

Nadhani kama mwanasheria ulitakiwa kuwa interested zaidi na lengo la uwepo wa huduma hiyo na kwanini huduma hiyo itegemee hisani ya mtu binafsi. Hicho ndio cha kujadili ili uwepo utaratibu wa huduma kutolewa bila kungoja hisani.

Nguvu zisitumike kujadili trivial issues.
 
Ungeiweka kimahesabu ingekaa vizuri zaidi.
Mkuu wa wilaya hulipwa mmilioni 2 kama mshahara

75% ya mshahara wake ni milioni moja na laki tano.

1500000/7 = 214,285.7

Kweli wanasheria wa Tanzania wanalipwa kidogo sana, hadi makonda anaweza kuajiri 7?.
Unatakiwa utoe PAYE kabla ya kutafuta hiyo asilimia 75.
 
Sio kila mtaalam anataka kulipwa pesa nyingi. Mwingine analipwa symbolically tu.
Ulitakiwa kutafuta taarifa zaidi kabla ya kulalamika.

Nadhani kama mwanasheria ulitakiwa kuwa interested zaidi na lengo la uwepo wa huduma hiyo na kwanini huduma hiyo itegemee hisani ya mtu binafsi. Hicho ndio cha kujadili ili uwepo utaratibu wa huduma kutolewa bila kungoja hisani.

Nguvu zisitumike kujadili trivial issues.

Mkuu ZeMarcopolo,this matter is neither trivial nor immaterial
 
Last edited by a moderator:
Hivi ajira kwa upande wa sheria ziko nje nje sana kiasi kwamba huwezi kuwapata wanasheria wanaong'aang'aa sharubu na bahasha mtaani?

Maana kwa baadhi ya kada kuna graduates wanaendesha hadi bodaboda.
 
acha urongo,huo sio mshahara wa mkuu wa wilaya.Tafuta taarifa sahihi,ila huo siyo mshahara wao

Waungwana wanapokanusha taarifa za awali,
Huweka taarifa mpya,
Kama huo sio mshahara wa mkuu wa wilaya ,
wewe
Unaye ujue kanusha na weka usahii wake .
Kinyume cha hivo mtoa taarifa wa kwanza yuko sahihi
 
Petro E. Mselewa

petro, tuambie wewe ni mwanasheria? Au wakili? Hao aghali ni mawakili au wanasheria? Unaujua mshahara wa makonda kama unaujua tuambie ni shs ngapi? Tuambie hao wanasheria walio ajiriwa na makonda mshahara wao ni shs ngapi na makonda anawalipa ngapi?
 
Last edited by a moderator:
pamoja na kukosea kwake lakini mshahara wa mkuu wa wilaya hauwezi kuwa 2M,huyo mkuu wa idara tu anachukuwa 3M sembuse DC
Ungeiweka kimahesabu ingekaa vizuri zaidi.
Mkuu wa wilaya hulipwa mmilioni 2 kama mshahara

75% ya mshahara wake ni milioni moja na laki tano.

1500000/7 = 214,285.7

Kweli wanasheria wa Tanzania wanalipwa kidogo sana, hadi makonda anaweza kuajiri 7?.
 
Mi nilijua walimu saba wa primary, kumbe wanasheria? Yesu na Maria.
 
Ni dhahili namba ni janga la wabunge wa ndiyoo bali la kitaifa zaidi. Hii ni hesabu ya darasa la nne kwa shule za za msingi yebo yebo. Kwa mujibu wa takwimu zilizo tajwa na mwanzishaji wa uzi, ni kuwa huyo makonda anatumia 75% ya mshahara wake kuwalipa wanasheria saba. Hii maana yake ni kuwa kama asilimia 75 ni mshara kwa watu 7 hivyo mshara wa makonda unaweza kulipa watu 9.33333 hii ni kusema anaweza kulipa watu kumi siyo SABA!
 
Back
Top Bottom