mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 7,258
- 9,728
Hatuwataki kwanza peleken ujinga wenu hukoSema ukitaka kuwa na ndoa Ngumu, we jitumbukize kwa hao watu.......
Hatuwataki kwanza peleken ujinga wenu hukoSema ukitaka kuwa na ndoa Ngumu, we jitumbukize kwa hao watu.......
We Chakubanga acha ujinga wakoWacha kuongea vitu general, jiongelee wewe, eti " mchaga yoyote.anajua kutoa" huh
Baba zangu wadogo wameoa wachaga na wako vizur mpaka leo. It all down to perception.Sema ukitaka kuwa na ndoa Ngumu, we jitumbukize kwa hao watu.......
Yes wanajua. The difference is kimya kimya sana bila attention yoyote.Wacha kuongea vitu general, jiongelee wewe, eti " mchaga yoyote.anajua kutoa" huh
Kuna taasis wamejaa wasukuma.. tena wengi kuliko kabila lingine.. taasis hiii ni muhim sana hapa bongo na ni ngum kutoboa kama hujatoka kanda ya ziwa.Mengi alikuwa Mchaga wa tofauti sana, kwenye kampuni yake hakujawahi kusikika swala la kuajiri kwa kuangalia kabila.
Lakini kiuhalisia kuna taasisi nyingi sana, nyingi sana zimekuwa zikilalamikiwa kuhusu kuajiri kwa kuangalia kabila.
Kutokuwa Wabahili kwenu mmepata maendeleo gani?Wachaga na Wapare ni Wabahili sana jamani hili liko wazi kwa watu ambao wamewahi kuuishi karibu na watu wa makabila haya
Sio kweli wengine tumeoa wachaga na maisha yanaenda safi kuliko yako, na watoto tunazaa 😂😂😂😥😥😥Sema ukitaka kuwa na ndoa Ngumu, we jitumbukize kwa hao watu.......
Hivi wale watani wao Wapare wanasemaje juu ya hao jamaa huhusu ''Muaghaga'' mzuri/mwema?Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.
Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani
Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi
Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu
Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Kuna taasis wamejaa wasukuma.. tena wengi kuliko kabila lingine.. taasis hiii ni muhim sana hapa bongo na ni ngum kutoboa kama hujatoka kanda ya ziwa.
Kuna taasis wamejaa wahaya.. na kutoboa kamansio muhaya hufiki.
Usiwaseme wachaga tu.. kunanmakabila yamejazana sehem moja na wanajulikana.
Tunasaidia walemavu&wasiojiweza na kunyanyua hali zao kadir ya haliKutokuwa Wabahili kwenu mmepata maendeleo gani?
We subir vya kupewa kenge wwAkuna watu wachoyo na wabahili kama wachaga na wapare.
Mbona hatuwasikii kama mengi?? Alivo kuwa anafanyaTunasaidia walemavu&wasiojiweza na kunyanyua hali zao kadir ya hali
Mikono unatofautiana urefu Mengi ni BillionaireMbona hatuwasikii kama mengi?? Alivo kuwa anafanya
Sasa kwa nn unasema hao jamaa ni Wabahili??Mikono unatofautiana urefu Mengi ni Billionaire
Biseco tutajieni na wengine wa makabila mengine wanaosaidia watu angalau watano watano katika kila hayo makabila mengine yenye roho nzuri na wenye kusaidia watu. Kwa hao wachaga wenye roho mbaya tumemuona huyo 1 marehemu Mengi sasa tuje na upande wa pili kwa kuwa wao ni wema sana huwezi kukosa kuwataja angalau makabila10 tu tuone.Ni kweli Mengi alikuwa anasaidia sana, tukubali pia yeye ndiye mchaga tuliyekuwa tunamuona sana akisaidia kuliko wachaga wengine sababu anamiliki vyombo vikubwa vya habari vyenye coverage kubwa.
Hawa wachaga wengine tusio wafamu tunawapa labels kwamba 'wabinafsi' nafikiri laiti kama kila mchaga angekuwa anamiliki vyombo vya habari na kila akisaidia taarifa inafikia uma basi nafikiri tungekuwa na takwimu sahihi na tungeongea kwa kujiamini.
Kinyume na haya, hii mizani tuyaoitumia kusema ati fulani ni mchaga bora kuliko wengine kana kwamba tumefanya tafiti kwa wachaga wote duniani ama tunawafahamu wote yatosha kusema haina usahihi.
Binafsi sipendi husisha suala la kusaidia na ukabila, ifike mahali tusilete mitazamo hiyo.
Hakuna anaeweza kutaja mkuu.. Bashite ni mpuuzi tuuBiseco tutajieni na wengine wa makabila mengine wanaosaidia watu angalau watano watano katika kila hayo makabila mengine yenye roho nzuri na wenye kusaidia watu. Kwa hao wachaga wenye roho mbaya tumemuona huyo 1 marehemu Mengi sasa tuje na upande wa pili kwa kuwa wao ni wema sana huwezi kukosa kuwataja angalau makabila10 tu tuone.
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.
Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani
Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi
Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu
Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe