Bashite naona umeamua kuja mwenyewe kabisa sasa.Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.
Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani
Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi
Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu
Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.
Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani
Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi
Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu
Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Ipi hiyo roho nzuri,wachaga hawa ambao hata wao wenywewe kwa wenyewe wana matabaka?Siyo kweli kabisa, mimi siyo mchga ila Wachaga wanaroho nzuri sana na wana huruma, sema we unatetea kwa kuwa umetumwa na aliyekutuma mwambie umetukuta tuko macho
Ungeandika kwa Ngeli tupu mwanzo mwishoWachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.
Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani
Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi
Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu
Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe

Sasa utapateje jibu sahihi la swali hii??Kwahiyo ni mtanzania gani ambaye alikuwa anasaidia zaidi ya Mengi na siyo mchagga?
Mkitaka tuamini haya mnayoyasema tupeni mfano wa tajiri mmoja kutoka kabila tofauti na mchaga ambae ana moyo wa kujitolea kusaidia wengine, angalau aliefikia nusu au robo ya moyo wa kujitolea wa Dr. Mengi.Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.
Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani
Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi
Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu
Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Mkuu siyo kunanga, ni desturi kwa watanzania kutaniana hata kwenye misiba, ila sema pengine wachaga hawataniwi au yule si mtani wao.Ata kama yupo sahihi ni kwa nini sasa akawanange wachaga msibani? Au kuna utani wa jadi kati ya wachaga na waskuma?
KIJANA UNATAKA USAIDIWE NA WACHAGA ILI IWEJE, WE HUNA NDUGU ZAKO, MENGI ALIWASAIDIA WENGINE MAANA ALISHAWATOA NDUGU ZAKE, HALAFU UJUE HATA WACHAGA HAWASAIDIA HIVI HIVI HATA KAMA NI NDUGU LAZIMA UFANYE KAZI KWA BIDIIWachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.
Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani
Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi
Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu
Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
we are JEWS of AfricaWachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.
Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani
Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi
Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu
Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
We kenge Kwel NGO ianzishwe halafu iwe ya umma una akili ww?Acha uongo taasisi gani imeanzishwa na mchaga halafu iwe ya umma